Author: Charles Adika
-
WANAOPINGA MIPANGO YA KUAGIZWA MAHINDI KUTOKA MATAIFA YA NJE WASUTWA VIKALI.
Mjadala kuhusu uagizaji wa mahindi kutoka nje ya nchi ukiendelea kushika kasi nchini, baadhi ya wakazi wa kaunti ya Pokot magharibi wameunga mkono swala hilo wakiwataka wanaopinga kukoma kuingiza siasa […]
-
WAZAZI WATAKIWA KUKUMBATIA MTAALA WA CBC KWA MANUFAA YA WANAO.
Wazazi katika kaunti ya Pokot magharibi wametakiwa kukumbatia mfumo mpya wa elimu CBC kwa manufaa ya wanao siku za usoni. Akizungumza katika hafla ya elimu katika shule ya msingi ya […]
-
IDARA YA POLISI KACHELIBA YAPIGA MARUFUKU DENSI ZA USIKU.
Idara ya polisi eneo la kacheliba kaunti ya Pokot magharibi imepiga marufuku hafla zozote za usiku katika eneo hilo hasa msimu huu wa desemba ambao huandamana na sherehe nyingi. Akizungumza […]
-
BAADHI YA WAFANYIKAZI WA KAUNTI POKOT MAGHARIBI WALALAMIKIA KUSITISHWA MISHAHARA YAO.
Baadhi ya wafanyikazi wa serikali ya kaunti hii ya Pokot magharibi wamelalamikia kupitia hali ngumu wakidai kutolipwa mishahara licha ya kutoa huduma. Wakizungumza na wanahabari wafanyikazi hao walisema tangu kuajiriwa […]
Top News








