Author: Charles Adika
-
MJADALA KUHUSU UAGIZAJI WA MAHINDI YA GMO WAZIDI KUTOKOTA NCHINI.
Mbunge wa Pokot kusini katika kaunti hii ya Pokot magharibi David Pkosing amemshutumu vikali waziri wa biashara, uwekezaji na viwanda Moses Kuria kufuatia kauli kwamba serikali inapanga kuagiza mahindi magunia […]
-
VISA VYA HIV MIONGONI MWA WATOTO POKOT MAGHARIBI VYATAJWA KUONGEZEKA.
Ni jukumu la kila mmoja katika jamii kuhakikisha kuwa anamlinda mtoto wa kike dhidi ya mimba za mapema na maambukizi ya virusi vya HIV. Ni wito wake afisa katika shirika […]
-
WAFANYIKAZI KAUNTI YA TRANS NZOIA WAHIMIZWA KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU NA SERIKALI.
Chama cha kutetea maslahi ya wafanyikazi katika kaunti ya Trans nzoia kimewahimiza wafanyikazi wa kaunti hiyo kushirikiana kikamilifu na uongozi wa gavana George Natembeya katika juhudi za kuimarisha miradi ya […]
-
SHIRIKA LA SICOM LAENDELEZA MIKAKATI YA KUKABILI ATHARI ZA UKAME POKOT MAGHARIBI.
Shirika lisillo la serikali la SICOM linalenga kuzindua mpango wa kuwawezesha wakazi wa maeneo mbali mbali ya kaunti hii ya Pokot magharibi hasa kina mama ili kuweza kujikimu hasa kipindi […]
Top News








