Author: Charles Adika
-
HALI YA USALAMA MIPAKANI YAZIDI KUWAKEKETA MAINI VIONGOZI POKOT MAGHARIBI.
Aliyekuwa mwakilishi wadi ya Masol eneo bunge la Sigor katika kaunti ya Pokot magharibi Ariong’o Loporna amezitaka asasi za usalama kuimarisha usalama maeneo ya mipakani pa kaunti hii ya Pokot […]
-
WAKAZI POKOT KUSINI WALALAMIKIA HALI MBOVU YA BARABARA.
Kama njia moja ya kuimarisha uchumi wa wakazi wa wadi ya Chepareria Eneo bunge la Pokot Kusini kaunti ya Pokot magharibi, kuna haja ya Serikali kuu kukarabati nyingi za barabara […]
-
MWAMKO MPYA KWA ELIMU NA DINI KERIO VALLEY.
Kunashuhudiwa mwamko mpya eneo la bonde la kerio baada ya shirika la Christian impact Mission, serikali na wadau wengine pamoja na wakazi kuanza kuinua elimu na dini kwenye eneo hilo […]
Top News








