Author: Charles Adika
-
WADAU POKOT MAGHARIBI WAONYWA DHIDI YA KUFANIKISHA WIZI WA MITIHANI YA KITAIFA.
Mitihani ya kitaifa kwa ajili ya darasa la nane KCPE na kidato cha nne KCSE ikiendelea kukaribia, wadau katika sekta ya elimu kaunti hii ya Pokot magharibi wameonywa dhidi ya […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUIMARISHA USALAMA WA WAFUGAJI WANAPOHAMA KUTAFUTA LISHE KWA MIFUGO.
Serikali imetakiwa kuimarisha usalama eneo la Amudat mpakani pa kaunti hii ya Pokot magharibi na taifa jirani la Uganda ili kutoa ulinzi kwa wafugaji wanaohamisha mifugo wao kuwatafutia lishe kufuatia […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WAHIMIZWA KUCHANGIA JUHUDI ZA KUIMARISHA USAFI TAIFA LINAPOADHIMISHA WIKI YA USAFI.
Taifa likiadhimisha wiki ya usafi idara mbali mbali katika serikali ya kaunti hii ya Poikot magharibi zimeelezea kushirikiana kuhakikisha kwamba usafi wa mazingira unaimarishwa katika kaunti hii. Akizungumza wakati wa […]
Top News








