Author: Charles Adika
-
WAKULIMA WATAKIWA KUJISALI KATIKA MAKUNDI YATAKAYOWAWEZESHA KUJIIMARISHA.
Wito umetolewa kwa wakulima katika kaunti hii ya Pokot magharibi kujiunga na mashirika mbali mbali yatakayowawezesha kuhifadhi fedha zao kwa manufaa ya shughuli zao hasa katika kutekeleza miradi mbali mbali […]
-
HOSPITALI YA KAPENGURIA YAPOKEA DAWA ZAIDI KUTOKA KEMSA.
Huduma za afya zinatarajiwa kuimarika katika hospitali na zahanati za kaunti ya Pokot magharibi baada ya serikali ya kaunti hiyo kupokea dawa lori saba kutoka katika shirika la kusambaza dawa […]
-
UNYANYAPAA NA TAMADUNI VYATAJWA KUWA VIKWAZO VYA HUDUMA BORA KWA WALEMAVU POKOT MAGHARIBI.
Jamii imetakiwa kuhusika katika uhamasishaji dhidi ya unyanyapaa unaotelekezwa dhidi ya watu wanaoishi na ulemavu katika kaunti ya Pokot magharibi. Ni wito wake mkewe gavana wa kaunti hiyo Sofia Kachapin […]
Top News







