Author: Charles Adika
-
WAFANYIKAZI WA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WANAOHUDUMU KWA KANDARASI WALALAMIKIA KUFUTWA KAZI.
Baadhi ya wafanyikazi katika kaunti ya Pokot magharibi wamelalamikia kile wamedai kufutwa kazi na serikali ya kaunti kupitia bodi ya huduma kwa umma wakihusisha hali hiyo na njama za kisiasa.Wafanyikazi […]
-
MZOZO WA UONGOZI KANISANI WAPELEKEA MAAFA NASOKOL.
Naibu chifu wa Kishaunet katika kaunti ya Pokot magharibi Benson Sialuk ameripotiwa kuaga dunia siku moja tu baada ya kuibuka ripoti za kupotea kwake hali inayohusishwa na mzozo wa uongozi […]
-
KACHAPIN APUUZILIA MBALI MADAI YA KUWAFUTA KAZI WAFANYIKAZI WA KAUNTI WALIOAJIRIWA NA JOHN LONYANGAPUO.
Gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi Simon Kachapin amepinga vikali madai kwamba amewafuta kazi wafanyikazi wa umma waliokuwa wakihudumu katika serikali ya aliyekuwa gavana John Lonyangapuo punde alipoingia uongozini.Katika […]
Top News








