Author: Charles Adika
-
BENKI YA EQUITY YAZINDUA UFADHILI WA WANAFUNZI KUPITIA ELIMU SCHOLARSHIP POKOT MAGHARIBI.
Benki ya Equity tawi la Kapenguria katika kaunti hii ya Pokot Magharibi imezindua rasmi mpango wa elimu scholarship kuwafadhili wanafunzi waliofanya vyema katika mtihani wa kitaifa kwa darasa la nane […]
-
WALIMU KUTOKA POKOT MAGHARIBI WANAOFUNZA TRANS NZOIA WAAPA KUTOREJEA DARASANI IWAPO HAWATAPEWA UHAMISHO.
Walimu kutoka kaunti ya Pokot magharibi wanaofunza katika shule za kaunti ya Trans nzoia waliandamana katika afisi za tume ya huduma kwa walimu TSC mjini Kapenguria kushinikiza kupewa uhamisho ili […]
-
‘KELELE’ ZA KINDIKI ZAONEKANA KUTOYUMBISHA NAFSI ZA WAVAMIZI BONDE LA KERIO.
Washukiwa wa wizi wa mifugo wamevamia vijiji vya Lokwar, Nakuse na Kaptir Turkana kusini kaunti ya Turkana na kuwaua wanafunzi wanne huku mamia ya wakazi wakilazimika kuyakimbia makazi yao kutokana […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YATARAJIWA KUZINDUA BASARI KWA WANAFUNZI IJUMAA WIKI HII.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi inatarajiwa kutoa hundi za fedha za basari kwa wanafunzi wote waliotuma maombi ya kutaka ufadhili huo kuanzia ijumaa wiki hii katika shughuli itakayofanyika shule […]
Top News








