Author: Charles Adika
-
SERIKALI ILIYOTANGULIA POKOT MAGHARIBI YASUTWA KWA ‘KUPORA’ MSAADA WA WAATHIRIWA WA MAPOROMOKO YA ARDHI.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ameisuta vikali serikali iliyotangulia ya aliyekuwa gavana John Lonyangapuo kuhusiana na jinsi ilivyoshughulikia waathiriwa wa maporomoko ya ardhi yaliyoshuhudiwa mwaka 2019.Akizungumza na […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WAHIMIZWA KUZINGATIA USHIRIKIANO NA KUEPUKA SIASA ZA KILA MARA.
Aliyekuwa mbunge wa Sigor katika kaunti hii ya Pokot Magharibi Philip Rotino ametoa wito kwa viongozi na wakazi wa kaunti hii kudumisha umoja.Akizungumza na kituo hiki Rotino amewataka viongozi waliochaguliwa […]
-
WAKAZI WA AMUDAT WASHAURIWA KUTOHOFIA OPARESHENI YA KIUSALAMA INAYOENDESHWA ENEO HILO NA MAFISA WA POLISI.
Wakazi wa eneo la Amudat mpakani pa kaunti ya Pokot magharibi na taifa jirani la Uganda wametakiwa kutokuwa na wasi wasi kufuatia oparesheni inayoendelea ya kuondoa silaha haramu katika mkoa […]
-
WAKUU WA SHULE WAPINGA MADAI YA KUHUSIKA UDANGANYIFU KATIKA MTIHANI WA KCSE MWAKA 2022.
Siku moja tu baada ya aliyekuwa seneta wa kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Poghisio kutaka uchunguzi kufanyiwa matokeo ya mtihani wa kitaifa kwa kidato cha nne KCSE mwaka 2022 […]
Top News








