Author: Charles Adika
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WATAKA SHUGHULI ZA KENGEN KUREJESHWA TURKWEL.
Baadhi ya viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wameisuta serikali kwa kile wamesema kwamba imehamisha shughuli za kampuni ya KenGen hadi mjini Kitale kaunti ya Trans nzoia.Wakiongozwa na mbunge wa […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUTOTEGEMEA KILIMO CHA MIFUGO NA BADALA YAKE KUANGAZIA KILIMO MBADALA.
Wito umetolewa kwa wakazi wa kaunti ya Pokot magharibi kuendelea kusalia watulivu serikali inapoendeleza mikakati ya kuhakikisha kwamba wanapokea mbolea ya ruzuku baada ya kukamilika zoezi la kuwasajili wakulima watakaopokea […]
-
WAHISANI WAOMBWA KUWASAIDIA WAKAZI WANAOKABILIWA NA BAA LA NJAA POKOT MAGHARIBI.
Mbunge wa kacheliba kaunti ya Pokot magharibi Titus Lotee ametoa wito kwa wahisani wakiwemo mashirika yasiyo ya serikali kujitokeza na kuwasaidai wakazi wa kaunti hiyo ambao wanakabiliwa na baa la […]
Top News







