Author: Charles Adika
-
BIASHARA YA DAWA ZA KULEVYA YARIPOTIWA KUKITHIRI KACHELIBA WAATHIRIWA WAKUU WAKIWA VIJANA.
Wakazi eneo la Kacheliba katika kaunti ya Pokot magharibi wamelalamikia kukithiri utumizi wa dawa za kulevya miongoni mwa vijana hali ambayo inatishia usalama wa eneo hilo. Wakiongozwa na mwenyekiti wa […]
-
SERIKALI YAAHIDI KUSHIRIKIANA NA MASHIRIKA YASIYO YA SERIKALI KUIMARISHA MAISHA YA WAKAZI POKOT MAGHARIBI.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi itatenga fedha zaidi katika kipindi cha fedha kijacho ili kuimarisha shughuli za makundi mbali mbali ya wafanyibiashara wa viwango vya chini hasa maeneo ya […]
-
TSC YASHUTUMU VISA VYA UVAMIZI DHIDI YA WALIMU POKOT MAGHARIBI.
Tume ya huduma kwa walimu TSC imeshutumu vikali visa vya uvamizi dhidi ya walimu katika kaunti ya Pokot magharibi ambavyo vimeripotiwa kukithiri.Akirejelea kisa cha hivi majuzi cha kuvamiwa mwalimu mkuu […]
-
SHUGHULI ZA MASHIRIKA YASIYO YA SERIKALI ZAANZA KUZAA MATUNDA POKOT MAGHARIBI.
Miradi ya kilimo ambayo ilianzishwa katika kaunti ya Pokot magharibi na mashirika yasiyo ya serikali kuanzia mwaka 2020 ikiwemo ile ya unyunyiziaji maji mashamba na kuhusisha makundi mbali mbali ya […]
Top News









