Author: Charles Adika
-
SERIKALI YASUTWA KWA KUVUNJA SHERIA KATIKA KUKABILI UTOVU WA USALAMA BONDE LA KERIO.
Polisi kwa ushirikiano na kikosi cha maafisa wa jeshi wakiendelea na oparesheni ya kuondoa silaha zinazomilikiwa kinyume cha sheria pamoja na kuhakikisha wanakabiliana na wezi wa mifugo katika bonde la […]
-
KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI YAPOKEA DAWA ZA KIMA CHA SHILINGI MILIONI 43 KUTOKA KEMSA.
Shirika la kusambaza dawa na vifaa vya matibabu KEMSA limeipokeza kaunti ya Pokot magharibi dawa za kima cha shilingi milioni 43 huku likiahidi kusambaza kiwango kilichosalia kabla ya mwisho wa […]
-
WAZAZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUTILIA MAANANI ELIMU KUWA SULUHU KWA UTOVU WA USALAMA.
Wito umetolewa kwa wakazi wa kaunti ya Pokot magharibi kukumbatia elimu kwa ajili ya wanao na kuhakikisha kwamba wanasalia shuleni kwa kuwajibikia mahitaji yote kwa manufaa yao ya siku za […]
-
WAAKILISHI WADI POKOT MAGHARIBI WAKOSOA OPARESHENI YA KIUSALAMA.
Waakilishi wadi katika kaunti ya Pokot magharibi wamelalamikia jinsi serikali inavyoshughulikia swala la utovu wa usalama katika kaunti za bonde la Kerio, wakisema kwamba ipo njia bora na salama inayoweza […]
Top News







