Author: Charles Adika
-
PKOSING AKAMATWA NA KUHOJIWA NA DCI KUHUSU UTOVU WA USALAMA KERIO VALLEY.
Mbunge wa Pokot kusini David Pkosing alikamatwa alhamisi jioni na kuhojiwa kwa muda na idara ya upelelezi DCI kabla ya kuachiliwa huru kufuatia madai ya kutoa semi zinazodaiwa kuchochea uhasama […]
-
WAKAZI MASOL WALALAMIKA KUATHIRIKA NA AMRI YA KUTOKUWA NJE.
Aliyekuwa mwakilishi wadi ya Masol eneo bunge la Sigor katika kaunti ya Pokot magharibi Ariong’o Loporna amelalamikia utekelezwaji wa amri ya kutokuwa nje kuanzia saa kumi na mbili jioni hadi […]
-
WALIMU WAONYWA DHIDI YA KUWASAJILI WANAFUNZI WA GREDI YA SITA KUFANYA MTIHANI WA DARASA LA NANE KCPE.
Idara ya elimu eneo la Pokot kusini katika kaunti ya Pokot magharibi imewaonya vikali wazazi na walimu wakuu wa shule mbali mbali dhidi ya kuwasajili wanafunzi waliofanya mtihani wa gredi […]
-
OPARESHENI YA KIUSALAMA YAANZA RASMI BONDE LA KERIO HUKU IDARA ZA USALAMA ZIKICHUKUA TAHADHARI KUZUIA WAHALIFU KUKIMBILIA MAENEO MENGINE.
Idara ya usalama eneo la pokot kusini katika kaunti ya Pokot magharibi iko imara kuhakikisha kwamba hamna mkazi yeyote kutoka maeneo ambako kunaendeshwa oparesheni ya kiusalama atatorokea eneo hilo.Naibu kamishina […]
Top News









