Author: Charles Adika
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAENDELEA KUWEKA MIKAKATI YA KUHAKIKISHA USALAMA UNADUMISHWA.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi imefungua barabara ya kutoka karawal kuelekea Kapushen hadi Kongolokwan mpakani pa maeneo bunge ya pokot kusini na Sigor kama baadhi ya juhudi za kuimarisha […]
-
RAIS RUTO ATAKIWA KUFANYA KILA JUHUDI KUMALIZA UHALIFU ULIOKITHIRI BONDE LA KERIO
.Viongozi mbali mbali kutoka eneo la bonde la kerio sasa wanamtaka rais William Ruto kufanya kila awezalo kuhakikisha kwamba usalama umerejeshwa eneo hilo na kukomesha mahangaiko ya wakazi kwenye maeneo […]
-
VISA VYA WATAHINIWA WA KCPE AMBAO HUENDA WAKAKOSA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA KUFUATIA KARO VYAZIDI KURIPOTIWA.
Wanafunzi waliofanya mtihani wa KCPE mwaka 2022 wakiendelea kuripoti katika shule mbali mbali za upili walizoitwa idadi ya wanafunzi wanaohitaji ufadhili wa kuendeleza elimu yao ya shule ya upili imeendelea […]
-
WADAU WATAKA JUHUDI KUELEKEZWA KWA MTOTO WA KIUME KATIKA JAMII
Wadau katika sekta ya elimu kaunti ya Pokot magharibi sasa wanaelezea haja ya juhudi kuelekezwa kwa mtoto mvulana katika jamii kuhakikisha kwamba anapata elimu.Akizungumza wakati wa ufunguzi rasmi wa madarasa […]
Top News








