Author: Charles Adika
-
WAKAZI WATAKIWA KUTOYAUZA MAZAO YAO YOTE WAKATI WA MAVUNO ILI KUKABILI BAA LA NJAA MSIMU WA UKAME.
Wito umetolewa kwa wakazi wa kaunti ya Pokot magharibi kuwa makini wakati wanapovuna mazao yao na kutoyauza yote ili kukabiliana na baa la njaa hasa misimu ya ukame. Ni wito […]
-
WEZI WA MIFUGO WAENDELEA KUKAIDI OPARESHENI YA KIUSALAMA BONDE LA KERIO, HUKU IDADI YA NG’OMBE ISIYOJULIKANA WAKIIBWA TAMBACH.
Taharuki ingali imetanda katika kijiji cha Kapushen wadi ya Tambach eneo la pokot kusini kaunti ya Pokot magharibi baada ya wezi wa mifugo kuvamia eneo hilo usiku wa kuamkia jumapili […]
-
SERIKALI YAPANGA KUCHIMBA VISIMA KUKABILI ATHARI ZA UKAME POKOT MAGHARIBI.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi ina mipango ya kuchimba visima katika kila wadi ambazo zimeathirika pakubwa na ukosefu wa maji kufuatia ukame ambao unashuhudiwa maeneo mbali mbali ya nchi. […]
-
IDARA MBALI MBALI ZA SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI ZAWASILISHA RIPOTI ZA MAONI KUHUSU MAANDALIZI YA BAJETI.
Waakilishi wadi katika kaunti ya Pokot magharibi wamewahakikishia wananchi kwamba watafuatilia kwa karibu kuhakikisha kwamba maoni yaliyotolewa kuhusu utekelezwaji wa bajeti yanatekelezwa kikamilifu. Akizungumza wakati wa vikao vya kuangazia ripoti […]
Top News









