Author: Charles Adika
-
OPARESHENI YA KIUSALAMA YAANZA RASMI BONDE LA KERIO HUKU IDARA ZA USALAMA ZIKICHUKUA TAHADHARI KUZUIA WAHALIFU KUKIMBILIA MAENEO MENGINE.
Idara ya usalama eneo la pokot kusini katika kaunti ya Pokot magharibi iko imara kuhakikisha kwamba hamna mkazi yeyote kutoka maeneo ambako kunaendeshwa oparesheni ya kiusalama atatorokea eneo hilo.Naibu kamishina […]
-
WAKAZI WA JAMII YA POKOT WATOA WITO KWA SERIKALI YA UGANDA KUWAHAKIKISHIA USALAMA KARITA.
Wakazi wa eneo la Karita mpakani pa kaunti ya Pokot magharibi na taifa jirani la Uganda wametoa wito kwa serikali ya rais Yoweri Museven kuzidisha juhudi za kuhakikisha amani inadumishwa […]
-
WADAU WAENDELEZA MIKAKATI YA KUKABILI ATHARI ZA UKAME POKOT MAGHARIBI.
Maeneo ya pokot ya kati na pokot kaskazini katika kaunti hii ya Pokot magharibi ndiyo yaliyoathirika zaidi na hali ya ukame ambayo imeendelea kushuhudiwa nchini.Haya yalibainika katika kikao cha wadau […]
-
IDARA YA TRAFIKI POKOT MAGHARIBI YAENDELEZA MIKAKATI YA KULETA NIDHAMU KATIKA SEKTA YA BODA BODA.
Wahudumu wa boda boda mjini Kapenguria katika kaunti ya Pokot magharibi wametakiwa kuzingatia kikamilifu sheria za barabarani ili kuhakikisha kwamba nidhamu inadumishwa na kuzuia ajali za mara kwa mara.Akizungumza wakati […]
-
WIZARA YA ELIMU POKOT MAGHARIBI YATARAJIWA KUFANYIA UCHUNGUZI SHULE YA UPILI YA CHEPKORNISWO KUFUATIA MAANDAMANO YA WANAFUNZI.
Waziri wa elimu kaunti ya Pokot magharibi Rebecca Lotuliatum amelalamikia kisa cha wanafunzi wa shule ya upili ya Chepkorniswo eneo la pokot kusini kuandamana hadi afisi za kaunti mjini Kapenguria […]
Top News









