Author: Charles Adika
-
WAKUU WA SHULE WAPINGA MADAI YA KUHUSIKA UDANGANYIFU KATIKA MTIHANI WA KCSE MWAKA 2022.
Siku moja tu baada ya aliyekuwa seneta wa kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Poghisio kutaka uchunguzi kufanyiwa matokeo ya mtihani wa kitaifa kwa kidato cha nne KCSE mwaka 2022 […]
-
VIONGOZI WATAKIWA KUTOINGIZA SIASA KATIKA ZOEZI LA USAJILI WA WALIMU.
Mbunge wa Kapenguria katika kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Moroto amewataka viongozi wa kisiasa katika kaunti hii kutoingiza siasa katika shughuli ya usajili wa walimu ambayo inaendelea kote nchini.Moroto […]
-
BAADHI YA VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WATILIA SHAKA UHALALI WA MATOKEO YA MTIHANI WA KITAIFA KCSE.
Siku chache tu baada ya matokeo ya mtihani wa kitaifa kwa kidato cha nne KCSE kutangazwa rasmi aliyekuwa seneta wa kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Poghisio ametilia shaka matokeo […]
Top News