Author: Charles Adika
-
UKEKETAJI WASALIA CHANGAMOTO KATIKA BAADHI YA MAENEO POKOT MAGHARIBI.
Chifu wa eneo la yanglomu Lomut kaunti hii ya Pokot magharibi Yohana Loritai amelalamikia kukithiri visa vya ukeketaji wa watoto wa kike licha ya juhudi za serikali na mashirika mbali […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WATETEA MIKAKATI YA RAIS KUIMARISHA UCHUMI WA NCHI.
Baadhi ya viongozi wanaoegemea chama cha UDA katika kaunti ya Pokot magharibi wametetea uongozi wa rais William Ruto dhidi ya shutuma kutoka kwa wapinzani wake kuhusiana na kupanda gharama ya […]
-
BUNGE LA POKOT MAGHARIBI LASITISHA SHUGHULI KULALAMIKIA MISHAHARA.
Bunge la kaunti hii ya Pokot magharibi ni la hivi punde kusitisha shughuli zake wabunge katika bunge hilo wakishinikiza tume ya kuratibu mishahara ya wafanyikazi SRC kusitisha hatua ya kupunguza […]
-
WANANCHI WATAKIWA KUZINGATIA KANUNI ZA KUHIFADHI MAZINGIRA.
Wananchi wametakiwa kuhusika kikamilifu katika kuhakikisha kwamba matumizi ya karatasi za plastiki yanapunguzwa nchini ili kukabili uchafuzi wa mazingira ambao husababishwa na karatasi hizo. Akizungumza eneo la Chepareria kaunti hii […]
-
SERIKALI YA KAUNTI KUGHARAMIA MATIBABU YA WATOTO WALIOJERUHIWA TURKWEL KUFUATIA SHAMBULIZI LA WEZI WA MIFUGO.
Waziri wa afya kaunti ya Pokot magharibi cleah Parlklea amewahakikishia wazazi wa watoto waliojeruhiwa katika shambulizi lililotekelezwa na wahalifu eneo la Turkwel siku ya jumamosi kwamba serikali ya kaunti kupitia […]
Top News










