Author: Charles Adika
-
LOTEE: RAIS WILLIAM RUTO ANA MAONO MAZURI KWA AJILI YA TAIFA LA KENYA.
Viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kuunga mkono mapendekezo ya rais William Ruto kuongeza ushuru nchini ili kufanikisha miradi ya serikali. Wa hivi punge kuzungumzia swala hilo ni mbunge […]
-
ZIARA YA KINDIKI BONDE LA KERIO YATAJWA KUWA MUHIMU KATIKA MCHAKATO WA KULETA AMANI.
Viongozi kaunti ya Pokot magharibi wamepongeza ziara za waziri wa usalama na maswala ya ndani ya nchi Prof. Kithure Kindiki alizofanya katika kaunti za bonde la kerio mwishoni mwa juma […]
-
RASLIMALI NA MIPAKA YATAJWA KUWA VYANZO VYA UTOVU WA USALAMA MIPAKANI PA POKOT MAGHARIBI NA TURKANA.
Viongozi wa kaunti ya Pokot magharibi wameitaka serikali kufanikisha maendeleo hasa maeneo ya mipakani ambako kumekuwa kukishuhudiwa utovu wa usalama kama moja ya mikakati ya kutia kikomo kwa uvamizi wa […]
-
SERIKALI YAAGIZA KUFUNGULIWA SHULE ZOTE ZILIZOFUNGWA KUFUATIA UTOVU WA USALAMA POKOT MAGHARIBI.
Waziri wa usalama wa ndani ya nchi Prof. Kithure Kindiki ameagiza kufunguliwa shule zote ambazo zilifungwa kutokana na ukosefu wa usalama katika kaunti ya Pokot magharibi ili kuwaruhusu watoto kutoka […]
Top News









