Author: Charles Adika
-
WAKENYA WAHIMIZWA KUWA TAYARI KWA HALI NGUMU ZAIDI, SERIKALI YA RAIS RUTO IKISUTWA KWA KUWA NA NIA YA KUMKANDAMIZA MWANANCHI.
Tangazo la mamlaka ya kudhibiti kawi EPRA kwamba itaongeza bei ya bidhaa za mafuta ya petroli kufuatia hatua ya rais William Ruto kutia saini mswada wa fedha wa mwaka 2023, […]
-
WAKAAZI LOMUT WATAJA MIRADI YA KILIMO KUWA CHANZO CHA UTULIVU AMBAO UNASHUHUDIWA SASA.
Wakaazi wa eneo la Lomut katika kaunti ya Pokot magharibi, moja ya maeneo ambayo yamekuwa yakishuhudia utovu wa usalama wamesifia miradi ambayo imekuwa ikiendelezwa eneo hilo chini ya mradi wa […]
-
LIPALE: OPARESHENI YA USALAMA BONDE LA KERIO INAENDELEZWA KWA UBAGUZI.
Mwenyekiti wa chama cha KUP kaunti ya Pokot magharibi Geofrey Lipale amekosoa jinsi ambavyo maafisa wa usalama wanaendesha oparesheni ya kukabili wahalifu wanaosababisha hali ya utovu wa usalama mipakani pa […]
Top News







