Author: Charles Adika
-
WAKULIMA POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUJIUNGA KWENYE MAKUNDI ILI KUNUFAIKA NA HUDUMA MBALI MBALI.
Meneja wa shirika la E for Impact moja ya mashirika ambayo yanaendeleza miradi mbali mbali ya kuwawezesha wakulima kaunti ya Pokot magharibi Banadet Mutinda ametoa wito kwa wakulima katika kaunti […]
-
GAVANA WA TURKANA AENDELEA KUSUTWA KWA MADAI YA KUENEZA MATAMSHI YA UCHOCHEZI.
Viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kumsuta gavana wa kaunti ya Turkana Jeremiah Lomurkai kwa kile wamedai kwamba ameendelea kueneza semi za chuki katika mikutano ya umma kwenye kaunti […]
Top News







