Author: Charles Adika
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAENDELEZA HARAKATI ZA KUWAHAMI WALIMU WA ECDE KUHUSU MTAALA WA CBC.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi kupitia idara ya elimu ya chekechea, early childhood development kwa ushirikiano na shirika la daughters of charity inaendeleza mafunzo kwa walimu wa chekechea kuhusu […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YATAKIWA KUIMARISHA MAZINGIRA YA WAFANYIKAZI KATIKA HOSPITALI YA KACHELIBA.
Wafanyikazi wa idara mbali mbali katika hospitali ya kacheliba kaunti ya Pokot magharibi wameitaka serikali ya kaunti kuangazia hali katika hospitali hiyo ili kuwapa mazingira bora ya kufanyia shughuli zao. […]
-
WAFANYIKAZI WA MRADI WA MAJI WA SIYOI-MURUNY WALALAMIKIA KUTOLIPWA KWA ZAIDI YA MWAKA MMOJA.
Wafanyakazi katika Mradi wa Kusambaza maji wa Siyoi – Muruny wameandamana wakilalamikia kutolipwa mishahara yao ya takriban milioni kumi. Wafanyakazi hao walisema wamepitia changamoto kubwa tangu mradi huo ulipoanzishwa huku […]
-
MAKUNDI MAWILI YA KANISA LA ACK ST. ANDREWS MAKUTANO YAENDELEA KUNYOSHEANA KIDOLE KUFUATIA VURUGU ZA JUMAPILI.
Uongozi wa kanisa la St. Andrews ACK mjini Makutano kaunti ya Pokot magharibi umejitetea kufuatia vurugu zilizoshuhudiwa katika kanisa hilo kwenye ibaada ya jumapili iliyopita. Mzee wa kanisa hilo Geofrey […]
Top News







