Author: Charles Adika
-
MFUMO UNAOTUMIKA KUSAMBAZA FEDHA ZA INUA JAMII WATAJWA KUWA DHALIMU KWA WAZEE.
Serikali imetakiwa kubadili mfumo ambao unatumika kutoa pesa za inua jamii kwa makundi lengwa ikiwemo ya wazee, walemavu na mayatima nchini. Ni wito ambao umetolewa na wakazi wa kaunti ya […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAENDELEZA SHUGHULI YA KUWAPA WAKULIMA MBUZI AINA YA GALA KUIMARISHA SHUGHULI ZA KILIMO CHA UFUGAJI.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi imeendeleza mikakati ya kuimarisha kilimo cha ufugaji kwa wakazi wa kaunti hiyo katika juhudi za kuimarisha mapato miongoni mwa wakazi kupitia shughuli za kilimo. […]
-
LONYANGAPUO: SULUHU KWA TATIZO LA NJAA KAUNTI HII NI KWA KILA MMOJA KWENDA SHAMBANI.
Aliyekuwa gavana wa kaunti ya Pokot magharibi John Lonyangapuo ameelezea haja ya kuwekeza pakubwa katika kilimo ili kukabili tatizo la njaa ambalo limekuwa kizungumkuti kila wakati wa kiangazi katika kaunti […]
-
WAATHIRIWA WA MAFURIKO MUINO WALALAMIKIA KUTELEKEZWA NA SERIKALI
Waathiriwa wa mafuriko ya mwaka 2019 eneo la Muino Pokot ya kati kaunti ya Pokot magharibi wamelalamikia kutelekezwa na serikali licha ya hasara na madhara waliyopata kufuatia hali hiyo. Wakiongozwa […]
Top News








