Author: Charles Adika
-
SWALA LA USALAMA LASALIA KIZUNGUMKUTI BONDE LA KERIO VIONGOZI WAKIZIDISHA HARAKATI ZA KUAFIKIWA AMANI.
Viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wanaendeleza juhudi mbali mbali za kuhakikisha kwamba visa vya uvamizi ambao unaendelea kushuhudiwa maeneo ya mipakani vinakabiliwa ili kuafikia amani na kuruhusu wakazi wa […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAENDELEZA HARAKATI ZA KUIMARISHA UFUGAJI.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi imejitolea kuhakikisha kwamba inapiga jeki shughuli za wafugaji na kuwawezesha kuimarisha hali yao ya uchumi hasa ikizingatiwa idadi kubwa ya wakazi wa kaunti hiyo […]
-
SHIRIKA LA SPECIAL OLYMPICS LAENDELEZA USAJILI WA WATOTO WENYE ULEMAVU ILI WANUFAIKE KWA ELIMU POKOT MAGHARIBI.
Wazazi eneo bunge la kacheliba katika kaunti ya Pokot magharibi wametakiwa kuwatoa wanao ambao wanaishi na ulemavu katika zoezi la ukaguzi wa watoto hao linaloendeshwa na shirika la special Olympics […]
-
UHABA WA BARABARA NA MTANDAO WATAJWA KUWA KIZINGITI KATIKA JUHUDI ZA KUWAKABILI WAHALIFU BONDE LA KERIO.
Ukosefu wa barabara nzuri na tatizo la mtandao ni baadhi ya maswala ambayo yanafanya vigumu kukabili hali ya utovu wa usalama maeneo ya mipakani pa kaunti ya Pokot magharibi na […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WAHIMIZWA KUPANDA MIMEA KANDO NA KILIMO CHA UFUGAJI.
Wito umetolewa kwa wakulima katika kaunti ya Pokot magharibi kukumbatia kilimo cha mimea mingine kando na shughuli za ufugaji ili kuhakikisha usalama wa chakula ikiwa moja ya ajenda kuu za […]
Top News








