Author: Charles Adika
-
WAKAAZI LOMUT WATAJA MIRADI YA KILIMO KUWA CHANZO CHA UTULIVU AMBAO UNASHUHUDIWA SASA.
Wakaazi wa eneo la Lomut katika kaunti ya Pokot magharibi, moja ya maeneo ambayo yamekuwa yakishuhudia utovu wa usalama wamesifia miradi ambayo imekuwa ikiendelezwa eneo hilo chini ya mradi wa […]
-
LIPALE: OPARESHENI YA USALAMA BONDE LA KERIO INAENDELEZWA KWA UBAGUZI.
Mwenyekiti wa chama cha KUP kaunti ya Pokot magharibi Geofrey Lipale amekosoa jinsi ambavyo maafisa wa usalama wanaendesha oparesheni ya kukabili wahalifu wanaosababisha hali ya utovu wa usalama mipakani pa […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WALAUMIWA KWA KUENDELEZA SIASA BADALA YA KUWAHUDUMIA WANANCHI.
Wito umetolewa kwa viongozi wa kisiasa katika kaunti ya Pokot magharibi kushirikiana kikamilifu na kuwahudumia wananchi licha ya tofauti ya vyama vyao vya kisiasa. Aliyekuwa gavana wa kaunti hiyo John […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUINGILIA KATI KUSAIDIA IDADI KUBWA YA WAKAZI WA WEIWEI WANAOKABILIWA NA BAA LA NJAA.
Mwakilishi wadi ya Weiwei kaunti ya Pokot magharibi David Moiben ametoa wito kwa serikali kuu kuingilia kati na kutoa chakula cha msaada kwa wakazi wa eneo hilo ambao wanakabiliwa pakubwa […]
Top News







