Author: Charles Adika
-
WADAU WASHINIKIZA KUFUNZWA LUGHA ZA MAMA SHULENI.
Wadau katika sekta ya elimu kaunti ya Pokot magharibi wametakiwa kukumbatia mafunzo ya lugha ya mama shuleni. Ni wito wake mwanzilishi wa shule ya the Cranes Esther Serem ambaye alisema […]
-
GHARAMA YA MAISHA YAENDELEA KUKEKETA MAINI YA WAKENYA MAENEO MBALI MBALI.
Baadhi ya wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi wamelalamikia uongozi wa rais William Ruto wanaosema kwamba umepelekea kupanda maradufu gharama ya maisha nchini tangu alipoingia uongozini. Wakizungumza baada ya […]
-
TSC YAKIRI KUWEPO UPUNGUFU MKUBWA WA WALIMU KATIKA SHULE ZA MASHINANI POKOT MAGHARIBI.
Shule za maeneo ya mashinani kaunti ya Pokot magharibi zinakabiliwa na upungufu mkubwa wa walimu kutokana na hatua ya serikali kusitisha utekelezwaji wa sera ya kuwataka walimu kufunza mbali na […]
-
UBALOZI WA UHOLANZI WAIMARISHA MIKAKATI YA KUSHIRIKIANA NA SERIKALI YA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI.
Balozi wa uholanzi nchini Maarten Brouwer amefanya kikao na gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin kuangazia jinsi ambavyo serikali ya kaunti hiyo itashirikiana na taifa hilo katika maswala […]
-
PKOSING ASUTWA VIKALI KWA KUENDELEZA SHINIKIZO LA KUMBANDUA RAIS MAMLAKANI.
Wakazi wa kaunti ya Pokot magharibi wametakiwa kuunga mkono kikamilifu uongozi wa rais William Ruto na kupuuza miito ya viongozi wa upinzani kuhusu kuandaliwa maandamano na kukusanya saini za kumbandua […]
Top News









