Author: Charles Adika
-
PKOSING ATAKIWA KUTANGAZA MSIMAMO WAKE WA KISIASA NA KUKOMA KUTAPATAPA.
Na Benson Aswani. Mbunge wa Sigor kaunti ya Pokot magharibi Peter Lochakapong anamtaka mwezake wa pokot kusini David Pkosing kutangaza rasmi msimamo wake wa kisiasa na kukoma kuwachanganya wakazi wa […]
-
WAKAZI WA MASOL POKOT MAGHARIBI WALALAMIKIA MAKALI YA NJAA.
Na Emmanuel Oyasi. Wakazi wa eneo la Masol Pokot ya kati kaunti ya Pokot magharibi wametoa wito kwa serikali kusambaza chakula cha msaada eneo hilo kutokana na hali kwamba wengi […]
Top News










