Author: Charles Adika
-
NAIBU GAVANA POKOT MAGHARIBI AANDIKISHA TAARIFA NA IDARA YA DCI KWA MADAI YA UCHOCHEZI
Na Emmanuel oyasi. Wakazi wa kaunti ya Pokot magharibi wameisuta serikali ya rais William Ruto kwa kile wamedai kuwahangaisha viongozi wa kaunti hiyo. Hii ni baada ya naibu gavana Robert […]
-
IDADI KUBWA YA WANAFUNZI WALIOJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA YAPELEKEA UHABA WA MIUNDO MSINGI KATIKA SHULE MBALI MBALI
Na Benson Aswani. Uongozi wa shule ya upili ya wasichana ya St. Bakhita Kacheliba katika kaunti ya Pokot magharibi umetoa wito kwa wahisani kujitokeza na kutoa ufadhili ambao utahakikisha kwamba […]
-
KUPPET YAIONYA TSC KUHUSU SHULE ZA UPILI ZISIZO NA WALIMU WAKUU POKOT MAGHARIBI.
Na Benson Aswani. Tume ya huduma kwa walimu nchini TSC imetakiwa kuharakisha mchakato wa kuwatuma walimu wakuu katika shule za upili ambazo hazina wakuu hao katika kaunti ya Pokot magharibi. […]
-
WATU WAWILI WADAIWA KUPIGWA RISASI NA KUJERUHIWA SARMACH NA MAAFISA WA KDF.
Na Emmanuel Oyasi. Mbunge wa Sigor kaunti ya Pokot magharibi Peter Lochakapong amelaani vikali kisa cha kujeruhiwa wakazi wawili waliokuwa wakilisha mifugo wao eneo la Sarmach kwa madai ya kukabiliwa […]
Top News








