Author: Charles Adika
-
VIONGOZI WA POKOT YA KATI WASHINIKIZA MAENDELEO KAMA NJIA MOJA YA KUKABILI UTOVU WA USALAMA.
Na Benson Aswani. Mbunge wa sigor katika kaunti ya Pokot magharibi Peter Lochakapong ametoa wito kwa wakazi wa eneo hilo hasa wanaoishi maeneo ya mipakani na kaunti ya Turkana kujitenga […]
-
IDARA YA USALAMA POKOT KUSINI YALENGA KUPIGA MARUFUKU BIASHARA YA POMBE NA MICHEZO YA ‘POOL’.
Na Emmanuel Oyasi. Idara ya usalama eneo la pokot kusini kaunti ya Pokot magharibi inaendeleza vikao vya kutafuta maoni ya wakazi wa eneo hilo kuhusu biashara ya pombe na michezo […]
-
MAMLAKA YA MAJANGA YAIKABIDHI SHULE YA UPILI YA KIWAWA MAGODORO 30 BAADA YA BWENI LA SHULE HIYO KUTEKETEA.
Na Benson Aswani. Maafisa kutoka idara inayoshughulikia majanga katika kaunti ya Pokot magharibi wamezuru shule ya upili ya wavulana ya Kiwawa eneo la Kacheliba kutathmini uharibifu uliosababishwa na moto ambao […]
Top News







