Author: Charles Adika
-
WALIMU WAKUU WAONYWA DHIDI YA KUWATUMA NYUMBANI WANAFUNZI KUTAFUTA KARO.
Chama cha walimu wa shule za upili na vyuo vya kadri KUPPET tawi la Pokot magharibi kimetoa wito kwa walimu wakuu kutowatuma nyumbani wanafunzi kutafuta karo. Akizungumza afisini mwake katibu […]
-
WADAU WATAKIWA KUSHIRIKIANA KUKABILI UKEKETAJI POKOT MAGHARIBI.
Wito umetolewa kwa wadau katika kaunti ya Pokot magharibi kushirikiana na serikali ya gavana Simon Kachapin katika vita dhidi ya utamaduni wa ukeketaji ambao umetajwa kuwa kizingiziti kikubwa kwa elimu […]
-
MOROTO ATAKA SERIKALI YA KAUNTI KUIMARISHA HOSPITALI ZA MAENEO YA MASHINANI.
Na Benson Aswani. Mbunge wa Kapenguria katika kaunti ya Pokot magharibi Samwel Moroto ametoa wito kwa serikali ya kaunti chini ya gavana Simon Kachapin kuhakikisha kwamba hospitali na vituo vya […]
Top News








