Author: Charles Adika
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WAISUTA SERIKALI KWA KUWAHANGAISHA WAKAZI WA ARDHI YA CHEPCHOINA.
Na Emmanuel Oyasi. Baadhi ya viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wameisuta serikali ya Kenya kwanza kwa kutokuwa makini katika kushughulikia masaibu ambayo yanawakumba wakazi waliofurishwa katika ardhi yenye utata […]
-
MAAFISA WA NPR WATAKIWA KUKAZA KAMBA KATIKA VITA DHIDI YA UHALIFU MIPAKANI PA POKOT MAGHARIBI.
Na Benson Aswani. Afisa wa mipango maalum katika afisi ya gavana kaunti ya Pokot magharibi David Chepelion ametoa wito kwa maafisa wa akiba NPR wanaohudumu maeneo yanayokabiliwa na utovu wa […]
-
PKOSING ATAKIWA KUTANGAZA MSIMAMO WAKE WA KISIASA NA KUKOMA KUTAPATAPA.
Na Benson Aswani. Mbunge wa Sigor kaunti ya Pokot magharibi Peter Lochakapong anamtaka mwezake wa pokot kusini David Pkosing kutangaza rasmi msimamo wake wa kisiasa na kukoma kuwachanganya wakazi wa […]
Top News









