Author: Charles Adika
-
WAKAZI WA MASOL POKOT MAGHARIBI WALALAMIKIA MAKALI YA NJAA.
Na Emmanuel Oyasi. Wakazi wa eneo la Masol Pokot ya kati kaunti ya Pokot magharibi wametoa wito kwa serikali kusambaza chakula cha msaada eneo hilo kutokana na hali kwamba wengi […]
-
VIONGOZI WA POKOT YA KATI WASHINIKIZA MAENDELEO KAMA NJIA MOJA YA KUKABILI UTOVU WA USALAMA.
Na Benson Aswani. Mbunge wa sigor katika kaunti ya Pokot magharibi Peter Lochakapong ametoa wito kwa wakazi wa eneo hilo hasa wanaoishi maeneo ya mipakani na kaunti ya Turkana kujitenga […]
-
IDARA YA USALAMA POKOT KUSINI YALENGA KUPIGA MARUFUKU BIASHARA YA POMBE NA MICHEZO YA ‘POOL’.
Na Emmanuel Oyasi. Idara ya usalama eneo la pokot kusini kaunti ya Pokot magharibi inaendeleza vikao vya kutafuta maoni ya wakazi wa eneo hilo kuhusu biashara ya pombe na michezo […]
Top News








