Author: Charles Adika
-
MAMLAKA YA MAJANGA YAIKABIDHI SHULE YA UPILI YA KIWAWA MAGODORO 30 BAADA YA BWENI LA SHULE HIYO KUTEKETEA.
Na Benson Aswani. Maafisa kutoka idara inayoshughulikia majanga katika kaunti ya Pokot magharibi wamezuru shule ya upili ya wavulana ya Kiwawa eneo la Kacheliba kutathmini uharibifu uliosababishwa na moto ambao […]
-
BAADHI YA WANAFUNZI WAKOSA KURIPOTI KATIKA SHULE ZA UPILI POKOT MAGHARIBI LICHA YA MPITO WA ASILIMIA 100.
Na Emmanuel Oyasi. Baadhi ya wanafunzi eneo la Weiwei pokot ya kati katika kaunti ya Pokot magharibi hawajaripoti katika shule za upili ambazo waliitwa licha ya juhudi za serikali kuhakikisha […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WATAKA SHULE ZA MIPAKANI KUPEWA KIPAU MBELE KWA MGAO WA BASARI.
Na Benson Aswani. Viongozi wa maeneo ya mipakani katika kaunti ya Pokot magharibi ambako kumekuwa kukishuhudiwa utovu wa usalama wametoa wito kwa gavana wa kaunti Simon Kachapin kutoa fedha za […]
Top News








