Author: Charles Adika
-
WADAU WATAKIWA KUSHIRIKIANA KUKABILI UKEKETAJI POKOT MAGHARIBI.
Wito umetolewa kwa wadau katika kaunti ya Pokot magharibi kushirikiana na serikali ya gavana Simon Kachapin katika vita dhidi ya utamaduni wa ukeketaji ambao umetajwa kuwa kizingiziti kikubwa kwa elimu […]
-
MOROTO ATAKA SERIKALI YA KAUNTI KUIMARISHA HOSPITALI ZA MAENEO YA MASHINANI.
Na Benson Aswani. Mbunge wa Kapenguria katika kaunti ya Pokot magharibi Samwel Moroto ametoa wito kwa serikali ya kaunti chini ya gavana Simon Kachapin kuhakikisha kwamba hospitali na vituo vya […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WAISUTA SERIKALI KWA KUWAHANGAISHA WAKAZI WA ARDHI YA CHEPCHOINA.
Na Emmanuel Oyasi. Baadhi ya viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wameisuta serikali ya Kenya kwanza kwa kutokuwa makini katika kushughulikia masaibu ambayo yanawakumba wakazi waliofurishwa katika ardhi yenye utata […]
-
MAAFISA WA NPR WATAKIWA KUKAZA KAMBA KATIKA VITA DHIDI YA UHALIFU MIPAKANI PA POKOT MAGHARIBI.
Na Benson Aswani. Afisa wa mipango maalum katika afisi ya gavana kaunti ya Pokot magharibi David Chepelion ametoa wito kwa maafisa wa akiba NPR wanaohudumu maeneo yanayokabiliwa na utovu wa […]
Top News









