Author: Charles Adika
-
KUPPET YAIONYA TSC KUHUSU SHULE ZA UPILI ZISIZO NA WALIMU WAKUU POKOT MAGHARIBI.
Na Benson Aswani. Tume ya huduma kwa walimu nchini TSC imetakiwa kuharakisha mchakato wa kuwatuma walimu wakuu katika shule za upili ambazo hazina wakuu hao katika kaunti ya Pokot magharibi. […]
-
WATU WAWILI WADAIWA KUPIGWA RISASI NA KUJERUHIWA SARMACH NA MAAFISA WA KDF.
Na Emmanuel Oyasi. Mbunge wa Sigor kaunti ya Pokot magharibi Peter Lochakapong amelaani vikali kisa cha kujeruhiwa wakazi wawili waliokuwa wakilisha mifugo wao eneo la Sarmach kwa madai ya kukabiliwa […]
-
WALIMU WAKUU WAONYWA DHIDI YA KUWATUMA NYUMBANI WANAFUNZI KUTAFUTA KARO.
Chama cha walimu wa shule za upili na vyuo vya kadri KUPPET tawi la Pokot magharibi kimetoa wito kwa walimu wakuu kutowatuma nyumbani wanafunzi kutafuta karo. Akizungumza afisini mwake katibu […]
Top News








