Author: Charles Adika
-
IDADI KUBWA YA WANAFUNZI YAPELEKEA UHABA WA MIUNDO MSINGI SHULENI.
Shule mbali mbali za upili katika kaunti ya Pokot magharibi zimeendelea kukabiliwa na uhaba wa miundo msingi kufuatia idadi kubwa ya wanafunzi wa kidato cha kwanza ambao walisajiliwa katika shule […]
-
MASOMO YAENDELEA KULEMAZWA CHESOGON LICHA YA HAKIKISHO LA SERIKALI.
Viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wamelalamikia hatua ya kutofunguliwa baadhi ya shule ambazo ziliathirika na hali ya utovu wa usalama mipakani pa kaunti hiyo, hasa eneo la chesogon licha […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WATISHIA KUMBANDUA KINDIKI AFISINI.
Mbunge wa Kapenguria Samwel Moroto na mwenzake wa Kacheliba katika kaunti ya Pokot magharibi Titus Lotee wamesuta hatua ya kuagizwa kuandikisha taarifa na idara ya DCI jijini Nakuru kufuatia swala […]
Top News








