Tag: West Pokot
-
Shinikizo za kutaka shule za JSS kujisimamia zaendelea kutolewa na vyama vya walimu
Na Benson Aswani,Chama cha walimu wa shule za upili na vyuo vya kadri KUPPET kimeshikilia msimamo wake kwamba ni lazima serikali itenganishe shule za sekondari msingi JSS na shule za […]
-
Vyombo vya habari vyatakiwa kuwa msitari wa mbele katika vita dhidi ya ukeketaji
Na Benson Aswani,Vyombo vya habari vimetakiwa kuchangia katika vita dhidi ya ya tamaduni ya ukeketaji vinavyoendelezwa na serikali kwa ushirikiano na mashirika mbali mbali ya kijamii, kwa kuhakikisha kwamba vinatoa […]
-
Wakazi Kacheliba wanufaika na huduma za matibabu kutoka wakfu wa Safaricom
Na Joseph Lochele,Wakazi eneo bunge la Kacheliba katika kaunti ya Pokot magharibi wamenufaika na matibabu ya bure katika kambi ya matibabu ambayo iliandaliwa jumapili kwenye shule ya upili ya wasichana […]
-
Wakulima watakiwa kukumbatia mbinu za asili za kilimo
Na Emmanuel Oyasi,Wakulima katika kaunti ya Pokot magharibi wameshauriwa kukumbatia mbinu za kiasili katika kuendeleza shughuli zao za kilimo kama njia moja ya kuimarisha mazao na kuhifadhi mazingira. Wito huu […]
-
Mhudumu wa afya amlawiti mgonjwa Murpus
Na Benson Aswani,Mhudumu mmoja wa afya mwenye umri wa miaka 55 eneo la Murpus kaunti ya Pokot magharibi anazuiliwa na maafisa wa polisi kwa madai ya kumlawiti kijana mmoja, mwanafunzi […]
-
Vita dhidi ya ujangili vyashika kasi Pokot Magharibi
Na Benson Aswani,Kamishina wa kaunti ya Pokot magharibi Khalif Abdulahi ameendeleza wito kwa wakazi wanaomiliki silaha kinyume cha sheria kuzirejesha kabla ya kukamilika makataa ya mwezi mmoja yaliyotolewa na waziri […]
-
Ng’eno atimiza ahadi ya kugharamia elimu ya wasanii wawili Pokot Magharibi
Na Benson Aswani,Hatimaye mbunge wa Emurwa Dikir Johana Ng’eno ametimiza ahadi yake kugharamia elimu ya vijana wawili wasanii katika kaunti ya Pokot magharibi, ambayo alitoa katika hafla ya mwanamuziki mmoja […]
-
Wamiliki wa silaha kinyume cha sheria Pokot na Turkana wapewa makataa ya siku 7 kuzisalimisha
Na Benson Aswani,Kamishina wa kaunti ya Pokot magharibi Khalif Abdulahi amewataka wakazi ambao wanamiliki silaha kinyume cha sheria kuzisalimisha katika kipindi cha siku saba zijazo. Akizungumza baada ya kikao cha […]
-
Viongozi Pokot Magharibi watakiwa kuandaa kikao cha kuangazia swala la uchimbaji madini
Na Emmanuel Oyasi,Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio amewataka viongozi kaunti hiyo kuandaa kikao cha kujadili hatima ya shughuli ya uchimbaji madini ambayo ilisitishwa kwa muda na […]
-
Wahalifu warejelea shughuli zao Songok
Na Benson Aswani,Chifu wa eneo la Songok mpakani pa kaunti ya Pokot magharibi na kaunti jirani ya Turkana Joseph Korkimul amesikitikia kuchipuka tena visa vya utovu wa usalama mpakani pa […]
Top News










