News
-
MBUNGE WA POKOT KUSINI AONYWA DHIDI YA KUMHARIBIA JINA GAVANA WA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi Simon Kachapin ameendeleza shutuma dhidi ya mbunge wa Pokot kusini David Pkosing kwa kile amesema kwamba kutumia vyombo vya habari kumharibia jina. Akizungumza […]
-
MAENEO YA MIPAKANI YATAJWA KUWA CHANGAMOTO KATIKA VITA DHIDI YA UKEKETAJI POKOT MAGHARIBI.
Shirika la world Vision limeelezea kuafikia ufanisi mkubwa katika vita dhidi ya dhuluma za kijinsia ikiwemo ukeketaji na kuozwa mapema watoto wa kike eneo la Alale katika kaunti ya Pokot […]
-
WAKULIMA WATAKIWA KUJISALI KATIKA MAKUNDI YATAKAYOWAWEZESHA KUJIIMARISHA.
Wito umetolewa kwa wakulima katika kaunti hii ya Pokot magharibi kujiunga na mashirika mbali mbali yatakayowawezesha kuhifadhi fedha zao kwa manufaa ya shughuli zao hasa katika kutekeleza miradi mbali mbali […]
-
HOSPITALI YA KAPENGURIA YAPOKEA DAWA ZAIDI KUTOKA KEMSA.
Huduma za afya zinatarajiwa kuimarika katika hospitali na zahanati za kaunti ya Pokot magharibi baada ya serikali ya kaunti hiyo kupokea dawa lori saba kutoka katika shirika la kusambaza dawa […]
-
UNYANYAPAA NA TAMADUNI VYATAJWA KUWA VIKWAZO VYA HUDUMA BORA KWA WALEMAVU POKOT MAGHARIBI.
Jamii imetakiwa kuhusika katika uhamasishaji dhidi ya unyanyapaa unaotelekezwa dhidi ya watu wanaoishi na ulemavu katika kaunti ya Pokot magharibi. Ni wito wake mkewe gavana wa kaunti hiyo Sofia Kachapin […]
-
MIKUTANO YA AZIMIO YAUNGWA MKONO NA WAJUZI WA SHERIA POKOT MAGHARIBI.
Baadhi ya wajuzi wa maswala ya kisiasa katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameunga mkono mikutano ya umma ambayo inatarajiwa kuandaliwa na chama cha muungano wa azimio la umoja one […]
-
VIONGOZI WA KUP WATOFAUTIANA KUHUSU HATIMA YA CHAMA HICHO KWENYE MRENGO WA AZIMIO.
Masaa machache tu baada ya kiongozi wa chama cha KUP aliyekuwa gavana wa kaunti ya Pokot magharibi John Lonyangapuo kutangaza kuondoa chama hicho katika muungano wa azimio la umoja, mbunge […]
-
VYAMA VYA USHIRIKA POKOT MAGHARIBI VYALENGA KUANZISHA UPANZI WA MACADAMIA, KUBORESHA KILIMO BIASHARA.
Kama njia moja ya kuinua na kuboresha kilimo cha kahawa, vyama vya ushirika kaunti hii ya Pokot Magharibi kupitia mwenyekiti wao Samson kamarich vimesema kuwa wana nia ya kuanzisha upanzi […]
-
GAVANA KACHAPIN AMSUTA PKOSING KWA MADAI YA KUTUMIA VYOMBO VYA HABARI KUMHARIBIA SIFA.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin amemsuta vikali mbunge wa pokot kusini David Pkosing kwa kwa kile alisema kutumia vyombo vya habari kumharibia sifa machoni pa wakazi. Katika […]
-
WAZAZI BARINGO WALAUMIWA KWA KUWAFICHA WANAO WENYE ULEMAVU.
Wazazi katika kaunti ya Baringo wametakiwa kutowaficha wanao walio na changamoto ya ulemavu na badala yake wawasajili katika idara za serikali ili kuhakikisha kwamba wanashughulikiwa ipasavyo. Akiongea mjini kabarnet mkurugenzi […]
Top News









