News
-
MAAFISA WA KWS WALAUMIWA KWA KUTELEKEZA MAJUKUMU YAO HUKU WANANCHI WAKIHANGAISHWA NA WANYAMAPORI KACHELIBA.
Maafisa wa idara ya wanyamapori katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kuwadhibiti wanyama pori ambao wamekuwa wakiwahangaisha wakazi wa eneo la Kacheliba katika kaunti hii. Msimamizi wa kaunti ndogo […]
-
KUONDOLEWA KWA SHULE ZA MABWENI YAKOSOLEWA NA MBUNGE WA KAPENGURIA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Baadhi ya viongozi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamepinga vikali mipango ya serikali kuondoa shule za mabweni ilivyotangazwa na katibu katika wizara ya elimu Belio Kipsang. Kipsang alisema kwamba […]
-
WANAFUNZI WAFAIDI NA MPANGO WA KCB FOUNDATION POKOT MAGHARIBI
Benki ya KCB kupitia wakfu wa KCB foundation inaendelea kuweka mikakati ya kuwafadhili wanafunzi zaidi werevu kutoka jamii zisizojiweza kaunti hii ya Pokot magharibi. Akizungumza baada ya kukutana na wanafunzi […]
-
MWANAMME MMOJA ANASAKWA BAADA YA KUOA MSICHANA WA MIAKA KUMI NA TATU KACHELIBA POKOT MAGHARIBI
Mwanamme mwenye umri wa makamu anatafutwa na Polisi Katika Eneo la Kacheliba baada ya kuoa msichana mwenye umri wa miaka kumi na mitatu katika Kijiji cha Koroa kwenye Wadi ya […]
-
WANANCHI WA LOKICHAR NA MASOL WANUFAIKA NA CHAKULA KUTOKA KWA BENKI YA KCB KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Benki ya KCB tawi la Pokot magharibi kupitia wakfu wa KCB foundation imezindua mpango wa siku mbili wa kutoa chakula cha msaada kwa wakazi wa lokesheni za Lokichar eneo la […]
-
PENDEKEZO LA KUBUNIWA AFISI RASMI YA KIONGOZI WA UPINZANI LAUNGWA MKONO NA VIONGOZI POKOT MAGHARIBI.
Mbunge wa Kapenguria kaunti ya Pokot magharibi Samwel Moroto amepongeza hatua ya rais William Ruto kuandakia maspika wa mabunge yote mawili kuanzisha mchakato wa marekebisho ya sheria ili kubuniwe afisi […]
-
IDARA YA USALAMA POKOT MAGHARIBI YATAKIWA KUWAJIBIKA NA KUWAKABILI WAHALIFU MAKUTANO.
Naibu gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi Robert Komole ameitaka idara ya usalama katika kaunti hii kushirikiana na viongozi katika kuhakikisha kwamba usalama wa wakazi wa kaunti hii unaimarishwa. […]
-
MBUNGE WA POKOT KUSINI AONYWA DHIDI YA KUMHARIBIA JINA GAVANA WA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi Simon Kachapin ameendeleza shutuma dhidi ya mbunge wa Pokot kusini David Pkosing kwa kile amesema kwamba kutumia vyombo vya habari kumharibia jina. Akizungumza […]
-
MAENEO YA MIPAKANI YATAJWA KUWA CHANGAMOTO KATIKA VITA DHIDI YA UKEKETAJI POKOT MAGHARIBI.
Shirika la world Vision limeelezea kuafikia ufanisi mkubwa katika vita dhidi ya dhuluma za kijinsia ikiwemo ukeketaji na kuozwa mapema watoto wa kike eneo la Alale katika kaunti ya Pokot […]
-
WAKULIMA WATAKIWA KUJISALI KATIKA MAKUNDI YATAKAYOWAWEZESHA KUJIIMARISHA.
Wito umetolewa kwa wakulima katika kaunti hii ya Pokot magharibi kujiunga na mashirika mbali mbali yatakayowawezesha kuhifadhi fedha zao kwa manufaa ya shughuli zao hasa katika kutekeleza miradi mbali mbali […]
Top News










