News
-
VIONGOZI BONDE LA KERIO WATAKIWA KUSHIRIKIANA KATIKA JUHUDI ZA KUTAFUTA SULUHU KWA UTOVU WA USALAMA.
Miito imeendelea kutolewa kwa wadau katika kaunti hii ya Pokot magharibi kushirikiana katika kuweka mikakati ya kuhakikisha kwamba amani inadumishwa katika kaunti hii na kaunti zinazopatikana katika bonde la kerio.Wa […]
-
USHIRIKIANO MIONGONI MWA RAIA NA POLISI BONDE LA KERIO WATAJWA KUCHANGIA KUPUNGUA UHALIFU.
Mbunge wa Kapenguria katika kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Moroto amepongeza ushirikiano uliopo baina ya raia na maafisa wa usalama katika kaunti hiyo hasa maeneo ya mipakani ambapo kumekuwa […]
-
VIONGOZI WA KISIASA WALAUMIWA KUFUATIA KUDORORA MAADILI MIONGONI MWA JAMII.
Viongozi wa kisiasa katika kaunti ya Pokot Magharibi wamelaumiwa kutokana na kupotoka maadili miongoni mwa jamii hasa vijana.Mwakilishi wadi ya Mnagei Richard Todosia alisema kwamba viongozi wa kisiasa ndio wamekuwa […]
-
HOSPITALI YA KACHELIBA YAKABIDHIWA MTAMBO WA JENERETA KUKABILI TATIZO LA NGUVU ZA UMEME.
Wakazi wa eneo la Kacheliba katika kaunti ya Pokot magharibi wamepata afueni baada ya serikali ya kaunti kupitia idara ya afya kuikabidhi hospitali ya Kacheliba mtambo wa jenereta ambao utatumika […]
-
WAFANYIBIASHARA MJINI MAKUTANO POKOT MAGHARIBI WALALAMIKIA KUKITHIRI WIZI.
Wafanyibiashara mjini makutano katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kuwa waangalifu hasa msimu huu ambapo visa vya wizi vimetajwa kukithiri.Hii ni baada ya wasichana wawili kunaswa hiyo jana wakijaribu […]
-
VIONGOZI BONDE LA KERIO WAENDELEA KULAANI MAUAJI YA WANAFUNZI WAWILI KAUNTI YA ELGEYO MARAKWET.
Siku kadhaa baada ya majangili waliojihami kwa bunduki kuwauwa kwa risasi wanafunzi wawili katika kaunti ya Elgeiyo marakwet, mbunge wa Tiaty katika kaunti ya Baringo William Kamket ameongoza mkutano wa […]
-
SHINIKIZO ZAENDELEA KUTOLEWA KUBUNI MUUNGANO MMOJA WA WANAFUNZI WA VYUO NA WALE WA VYUO VIKUU POKOT MAGHARIBI.
Ipo haja kwa wanafunzi wa vyuo na vyuo vikuu katika kaunti hii ya Pokot magharibi kuungana na kubuni muungano mmoja.Haya ni kwa mujibu wa aliyekuwa naibu mwenyekiti wa muungano wa […]
-
WAKAZI WA ELGEYOI MARAKWET WATAKIWA KUDUMISHA AMANI WANAPOTARAJIWA KUELEKEA DEBENI.
Siku moja kabla ya kufanyika uchaguzi mdogo wa useneta kwenye kaunti ya elgeyo marakwet na kwingineko nchini wito unatolewa kwa Wakaazi wa eneo hilo pamoja na viongozi katika maeneo ambako […]
-
HOSPITALI YA ORTUM YACHUNGUZWA KUHUSIANA NA KISA CHA KUNYOFOLEWA BAADHI YA VIUNGO VYA MTOTO ALIYEZALIWA AKIWA TAYARI AMEFARIKI.
Hospitali ya kimisheni ya Ortum katika kaunti hii ya Pokot magharibi inachunguzwa kufuatia kisa ambapo baadhi ya viungo vya mwili wa mtoto uliohifadhiwa katika chumba cha kuhifadhi maiti cha hospitali […]
-
SHINIKIZO ZAENDELEA KUTOLEWA KWA RAIS KUTIMIZA AHADI ZAKE KWA WAKENYA.
Zaidi ya siku 100 tangu rais William Ruto kuingia afisini, shinikizo zimeendelea kutolewa kwake kuhakikisha kwamba anatekeleza ahadi alizotoa kwa wananchi kwamba angetekeleza ndani ya siku hizo 100 baada ya […]
Top News










