News
-
KUP CHAIKARANGA UDA POKOT KUSINI NA KACHELIBA.
Hatimaye David Pkosing amehifadhi kiti chake katika Eneo bunge la Pokot Kusini kaunti hii ya Pokot magharibi baada ya kumpiku mpinzani wake wa Chama Cha UDA Simon Kalekem kwa kura […]
-
RAILA AENDELEA KUSUTWA KWA KUWASILISHA KESI YA KUPINGA USHINDI WA RUTO.
Baadhi ya viongozi wa kisiasa katika kaunti hii ya Pokot magharibi hasa wanaoegemea mrengo wa rais mteule William Ruto wameendelea kumsuta kinara wa chama cha muungano wa azimio la umoja […]
-
CHAGUZI ZILIZOAHIRISHWA MENEO MBALI MBALI NCHINI HATIMAYE ZAANDALIWA LEO.
Baada ya subira ya muda sasa wakazi wa eneo bunge la pokot kusini na kacheliba katika kaunti hii ya Pokot magharibi wanaungana na wakazi wa maeneo mengine nchini ambako chaguzi […]
-
HISIA ZA ENDELEA KUTOLEWA BAADA YA KUAPISHWA KWA GAVANA SIMON KACHAPIN KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Viongozi mbali mbali wa kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kupongeza kuapishwa rasmi gavana wa kaunti hii Simon Kachapin kuanza tena kuhudumu kama gavana wa kaunti hii.Wakiongozwa na mbunge wa […]
-
VIONGOZI WA KENYA KWANZA WAENDELEZA KAMPEINI KATIKA MAENEOBUNGE YA POKOT KUSINI NA KACHELIBA KAUNTI YA POKOT
Viongozi mbalimbali wa Muungano wa Kenya Kwanza wakiongozwa na Naibu Rais Mteule Rigathi Gachagua wanatarajiwa kuzuru Kaunti ya Pokot Magharibi leo hii siku mbili kabla ya uchaguzi uliohairishwa ambao utafanyika […]
-
MIKAKATI YA KUANDAA CHAGUZI ZILIZOAHIRISHWA YAKAMILIKA.
Baadhi ya wagombea nyadhifa za uongozi katika maeneo ambako uchaguzi mkuu uliahirishwa wameelezea kuridhia tarehe mpya ya uchaguzi huo iliyotangazwa na tume ya uchaguzi IEBC.Mwenyekiti wafula chebukati alisema tume hiyo […]
-
SHUGHULI ZA MASOMO KUATHIRIKA TENA KATIKA SHULE ZITAKAZOTUMIKA KAMA VITUO VYA KUPIGIA KURA.
Shule za kutwa kwenye maeneo ambako kutafanyika uchaguzi jumatatu wiki ijayo zitafungwa kwa siku moja ili kupisha shughuli hiyo muhimu.Akitangaza hayo waziri wa elimu prof. George Magoha alisema wanafunzi kwenye […]
-
AZIMIO YAWASILISHA RUFAA YA KUPINGA MATOKEO YA UCHAGUZI WA URAIS.
Chama cha muungano wa azimio la umoja one Kenya hatimaye kimewasilisha rufaa ya kupinga matokeo ya uchguzi mkuu wa agosti 9.Katika stakabadhi yenye kurasa 76, kinara wa muungano huo Raila […]
-
MCHAKATO WA KUPATA UONGOZI MPYA POKOT MAGHARIBI WAELEKEA KUKAMILIKA.
Mipango ya kuingia afisini rasmi serikali mpya inayoongozwa na gavana mteule Simon Kachapin katika kaunti hii ya Pokot magharibi inaendelea, kamati ya kufanikisha ukabidhianaji mamlaka ikiwa katika hatua za mwisho […]
-
MIMBA ZA MAPEMA ZASALIA KIKWAZO KWA ELIMU YA MTOTO WA KIKE POKOT MAGHARIBI.
Huenda baadhi ya wanafunzi hasa wa kike katika kaunti hii ya Pokot magharibi wakakosa kurejea shuleni baada ya shule kufunguliwa tena kutokana na likizo ya majuma mawili ambayo yalitumika kuandaa […]
Top News