News
-
BAADHI YA VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WATILIA SHAKA UHALALI WA MATOKEO YA MTIHANI WA KITAIFA KCSE.
Siku chache tu baada ya matokeo ya mtihani wa kitaifa kwa kidato cha nne KCSE kutangazwa rasmi aliyekuwa seneta wa kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Poghisio ametilia shaka matokeo […]
-
VIONGOZI KERIO VALLEY WALAUMU SERIKALI KWA KUSHUGHULIKIA UTOVU WA USALAMA KWA UPENDELEO.
Umiliki wa bunduki miongoni mwa baadhi ya wakazi katika bonde la kerio ndicho kikwazo kikubwa katika juhudi za kumaliza uhalifu ambao unaendelea kushuhudiwa eneo hili. Haya ni kwa kujibu wa […]
-
MWANAFUNZI AOKOLEWA KUTOKANA NA NDOA YA MAPEMA KACHELIBA.
Mwanafunzi mmoja aliyefanya mtihani wa darasa la nane KCPE mwaka jana anahifadhiwa katika kituo cha polisi cha Kacheliba kaunti hii ya Pokot magharibi baada ya kutorokea usalama katika kituo hicho […]
-
DORIA YA KIUSALAMA YAIMARISHWA CHESOGON BAADA YA KUUAWA WATU WAWILI.
Doria imeimarishwa eneo la Chesogon mpakani pa kaunti ya Pokot magharibi na kaunti jirani ya Elgeyo marakwet ili kuimarishwa usalama eneo hilo kufuatia mauaji ya watu wawili na mwingine mmoja […]
-
WADAU POKOT MAGHARIBI WAENDELEZA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA ATHARI ZA UKAME.
Mashirika mbali mbali ya kijamii kaunti hii ya Pokot magharibi yanashirikiana na serikali ya kaunti katika kubuni mikakati ya kukabili athari ambazo huenda zikasababishwa na ukame ambao unashuhudiwa kufuatia ripoti […]
-
TSC YATAKIWA KUTOA KIPAU MBELE KWA WAKAZI KATIKA SHUGHULI YA USAJILI WA WALIMU POKOT MAGHARIBI.
Wakazi wa eneo la Kacheliba katika kaunti hii ya Pokot magharibi hasa wanaotafuta nafasi za ajira katika zoezi linaloendelea la kuwaajiri walimu nchini wamelalamikia idadi kubwa ya watu wanaofika eneo […]
-
WIZARA YA AFYA YAONDOA HOFU YA UWEPO WA UGONJWA WA KIPINDUPINDU POKOT MAGHARIBI.
Wizara ya afya katika kaunti hii ya Pokot magharibi imeondoa wasi wasi wa uwezekano wa kuzuka ugonjwa wa kipindu pindu katika kaunti hii baada ya kuibuka madai kuwa mgonjwa mmoja […]
-
RIPOTI YA GIZ YABAINISHA CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI WAFUGAJI POKOT MAGHARIBI.
Wakulima hasa wafugaji katika kaunti ya Pokot Magharibi wametakiwa kutunza vyema mazingira na kutumia misimu ya mvua kupanda nyasi ya kutosha na aina fulani ya miti ambayo hutumika kama chakula […]
-
JAMII YA NAIBU CHIFU ALIYEJINYONGA KISHAUNET YATAKA UCHUNGUZI WA KINA KUHUSIANA NA KISA HICHO.
Jamii ya naibu chifu wa Kishaunet katika kaunti ya Pokot magharibi aliyefariki kwa kujinyonga Benson Sialuk sasa inataka uchunguzi kuendeshwa kubaini kilichosababisha kifo cha naibu chifu huyo.Wakiongozwa na mamake mwenda […]
-
WAFANYIKAZI WA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WANAOHUDUMU KWA KANDARASI WALALAMIKIA KUFUTWA KAZI.
Baadhi ya wafanyikazi katika kaunti ya Pokot magharibi wamelalamikia kile wamedai kufutwa kazi na serikali ya kaunti kupitia bodi ya huduma kwa umma wakihusisha hali hiyo na njama za kisiasa.Wafanyikazi […]
Top News










