News
-
WAKAZI WA PARUA WALALAMIKIA KAZI DUNI ILIYOTEKELEZWA NA MWANAKANDARASI KATIKA BARABARA YA KOCHI HADI PARUA.
Wakazi wa eneo la Parua eneo bunge la pokot kusini katika kaunti ya Pokot magharibi wamelalamikia kazi duni ambayo imetekelezwa na mwanakandarasi aliyepewa jukumu la kukarabati barabara ya kutoka Kochi […]
-
MATOZO YALIYOPENDEKEZWA KATIKA MSWADA WA KIFEDHA MWAKA 2023/2024 YAENDELEA KUIBUA HISIA KINZANI NCHINI.
Hisia mseto zimeendelea kuibuliwa nchini kufuatia mapendekezo ya rais William Ruto katika mswada wa fedha wa mwaka 2023/2024 ambapo amependekeza kuongeza viwango vya ushuru unaotozwa kwa wakenya ili kufanikisha miradi […]
-
POGHISIO: TUACHIE JUKUMU LA KUBAINI MIPAKA TUME YA UCHAGUZI NA KURATIBU MIPAKA IEBC.
Viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wameshutumu mizozo inayozingira mpaka wa kaunti hiyo na kaunti jirani ya Turkana wakitoa wito kwa viongozi wa kisiasa kutoka pande zote mbili kuwa makini […]
-
WAKUU WA SHULE POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUBUNI MBINU ZA KUIMARISHA MATOKEO YA MITIHANI YA KITAIFA.
Wakuu wa shule za kaunti ya Pokot magharibi pamoja na wadau wengine wametakiwa kuhakikisha kwamba wanaweka mikakati bora itakayosaidia kuhakikisha matokeo ya mitihani ya kitaifa yanaimarika hata zaidi.Akizungumza katika shule […]
-
RAIS RUTO ALAUMIWA KUFUATIA KUPANDA GHARAMA YA MAISHA NCHINI.
Hisia mseto zimeendelea kuibuliwa miongoni mwa wananchi kuhusu mapendekezo ya kuongezwa viwango vya ushuru na matozo mbali mbali kwa wakenya kama njia moja ya kufanikisha shughuli za serikali. Wakazi wa […]
-
VIONGOZI BONDE LA KERIO WATAKIWA KUTIA JUHUDI ZAIDI KUHAKIKISHA AMANI INAREJEA ENEO HILO.
Viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wametakiwa kutia juhudi za kuhakikisha kwamba hali ya usalama inadumishwa hasa maeneo ya mipaka ya kaunti hiyo na kaunti jirani za Turkana, Baringo na […]
-
AKINA MAMA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WAOMBA KUUNGWA MKONO KATIKA SIASA
Wengi wa akina mama nchini wamekosa nafasi za uongozi katika ulingo wa kisiasa kutokana upinzani mkali kutoka kwa wenzao wa kiume. Haya ni kulingana na aliyekuwa spika wa bunge la […]
-
VIONGOZI WA POKOT MAGHARIBI NA TURKANA WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA VITENGO VYA USALAMA KUKABILI UHALIFU.
Kamishina kaunti ya Pokot magharibi Apolo Okelo ametoa wito kwa viongozi wa kisiasa kaunti hiyo na kaunti jirani ya Turkana kushirikiana na idara za usalama katika kukabili hali ya utovu […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YALENGA KUJENGA KITUO KIPYA CHA AFYA MJINI MAKUTANO
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi inaendeleza mikakati ya kujenga kituo kipya cha afya mjini Makutano lengo kuu likiwa kupunguza msongamano katika hospitali ya Kapenguria. Akizungumza wakati akikagua eneo ambako […]
-
CHUO KIKUU CHA ELDORET CHAENDELEZA MRADI WA KUHIFADHI UDONGO NA KUTUNZA MAZINGIRA CHEPARERIA.
Chuo Kikuu Cha Eldoret kupitia kwa Wakfu wa Utunzaji wa Mazingira na uzalishaji kupitia ukulima kinaendeleza mradi wa kuzuia mmomonyoko wa udongo kwa kujenga vizuizi kwenye mikondo ya maji katika […]
Top News









