News
-
GAVANA WA TURKANA AENDELEA KUSUTWA KWA MADAI YA KUENEZA MATAMSHI YA UCHOCHEZI.
Viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kumsuta gavana wa kaunti ya Turkana Jeremiah Lomurkai kwa kile wamedai kwamba ameendelea kueneza semi za chuki katika mikutano ya umma kwenye kaunti […]
-
WAKENYA WAHIMIZWA KUWA TAYARI KWA HALI NGUMU ZAIDI, SERIKALI YA RAIS RUTO IKISUTWA KWA KUWA NA NIA YA KUMKANDAMIZA MWANANCHI.
Tangazo la mamlaka ya kudhibiti kawi EPRA kwamba itaongeza bei ya bidhaa za mafuta ya petroli kufuatia hatua ya rais William Ruto kutia saini mswada wa fedha wa mwaka 2023, […]
-
WAKAAZI LOMUT WATAJA MIRADI YA KILIMO KUWA CHANZO CHA UTULIVU AMBAO UNASHUHUDIWA SASA.
Wakaazi wa eneo la Lomut katika kaunti ya Pokot magharibi, moja ya maeneo ambayo yamekuwa yakishuhudia utovu wa usalama wamesifia miradi ambayo imekuwa ikiendelezwa eneo hilo chini ya mradi wa […]
-
LIPALE: OPARESHENI YA USALAMA BONDE LA KERIO INAENDELEZWA KWA UBAGUZI.
Mwenyekiti wa chama cha KUP kaunti ya Pokot magharibi Geofrey Lipale amekosoa jinsi ambavyo maafisa wa usalama wanaendesha oparesheni ya kukabili wahalifu wanaosababisha hali ya utovu wa usalama mipakani pa […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WALAUMIWA KWA KUENDELEZA SIASA BADALA YA KUWAHUDUMIA WANANCHI.
Wito umetolewa kwa viongozi wa kisiasa katika kaunti ya Pokot magharibi kushirikiana kikamilifu na kuwahudumia wananchi licha ya tofauti ya vyama vyao vya kisiasa. Aliyekuwa gavana wa kaunti hiyo John […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUINGILIA KATI KUSAIDIA IDADI KUBWA YA WAKAZI WA WEIWEI WANAOKABILIWA NA BAA LA NJAA.
Mwakilishi wadi ya Weiwei kaunti ya Pokot magharibi David Moiben ametoa wito kwa serikali kuu kuingilia kati na kutoa chakula cha msaada kwa wakazi wa eneo hilo ambao wanakabiliwa pakubwa […]
-
SWALA LA USALAMA LASALIA KIZUNGUMKUTI BONDE LA KERIO VIONGOZI WAKIZIDISHA HARAKATI ZA KUAFIKIWA AMANI.
Viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wanaendeleza juhudi mbali mbali za kuhakikisha kwamba visa vya uvamizi ambao unaendelea kushuhudiwa maeneo ya mipakani vinakabiliwa ili kuafikia amani na kuruhusu wakazi wa […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAENDELEZA HARAKATI ZA KUIMARISHA UFUGAJI.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi imejitolea kuhakikisha kwamba inapiga jeki shughuli za wafugaji na kuwawezesha kuimarisha hali yao ya uchumi hasa ikizingatiwa idadi kubwa ya wakazi wa kaunti hiyo […]
-
SHIRIKA LA SPECIAL OLYMPICS LAENDELEZA USAJILI WA WATOTO WENYE ULEMAVU ILI WANUFAIKE KWA ELIMU POKOT MAGHARIBI.
Wazazi eneo bunge la kacheliba katika kaunti ya Pokot magharibi wametakiwa kuwatoa wanao ambao wanaishi na ulemavu katika zoezi la ukaguzi wa watoto hao linaloendeshwa na shirika la special Olympics […]
-
UHABA WA BARABARA NA MTANDAO WATAJWA KUWA KIZINGITI KATIKA JUHUDI ZA KUWAKABILI WAHALIFU BONDE LA KERIO.
Ukosefu wa barabara nzuri na tatizo la mtandao ni baadhi ya maswala ambayo yanafanya vigumu kukabili hali ya utovu wa usalama maeneo ya mipakani pa kaunti ya Pokot magharibi na […]
Top News










