News
-
LOCHAKAPONG AAHIDI KUIMARISHA HALI YA WADI YA MASOL ENEO BUNGE LA SIGOR.
Mbunge wa Sigor kaunti ya Pokot magharibi Peter Lochakapong ameahidi kuhakikisha kwamba anaimarisha hali katika wadi ya Masol eneo bunge hilo ambayo ametaja kuwa moja ya maeneo ambayo yametengwa kwa […]
-
KACHAPIN ASUTA UONGOZI WA LONYANGAPUO KWA KUTEKELEKEZA MIRADI ALIYOANZISHA KATIKA AWAMU YAKE YA KWANZA.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ameendelea kusuta uongozi wa aliyekuwa gavana John Lonyangapuo kwa kile amesema kutekeleza miradi ambayo alianzisha katika awamu yake ya kwanza ya uongozi. […]
-
MAANDAMANO YA AZIMIO YATAJWA KUWA TISHIO KWA OPARESHENI YA KIUSALAMA KASKAZINI MWA BONDE LA UFA.
Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio ameelezea hofu kwamba huenda maandamano ambayo yanaendelezwa na chama cha muungano wa azimio la umoja one Kenya maeneo mbali mbali ya […]
-
KACHAPIN ASIFIA MFUMO WA UGATUZI KUWA CHANZO CHA MAENDELEO MASHINANI.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin amepongeza pakubwa mfumo wa ugatuzi akisema kwamba umepelekea kuafikiwa maendeleo makubwa maeneo ya mashinani ikilinganishwa na ilivyokuwa awali ambapo serikali ya kitaifa […]
-
OCS WA KONGELAI ASUTWA KWA KUWA KIKWAZO KATIKA JUHUDI ZA KUHAKIKISHA USALAMA WA WAKAZI.
Mzee wa kijiji cha Simotwo eneo la Kongelai kaunti ya Pokot magharibi Johnson Lodepa ameelezea wasi wasi kuhusiana na usalama wa eneo hilo kutokana na kuwepo kundi la vijana ambao […]
-
MACHIFU WALAUMIWA KWA KUTUMIA NGUVU KUPITA KIASI KUKABILI UGEMAJI WA POMBE HARAMU POKOT MAGHARIBI.
Familia moja eneo la Kambi chafu katika kaunti ya Pokot magharibi inalilia haki kufuatia kisa cha kujeruhiwa mama yao baada ya kudaiwa kuvamiwa na chifu wa eneo hilo. Wakiongozwa na […]
-
WADAU WASHINIKIZA KUFUNZWA LUGHA ZA MAMA SHULENI.
Wadau katika sekta ya elimu kaunti ya Pokot magharibi wametakiwa kukumbatia mafunzo ya lugha ya mama shuleni. Ni wito wake mwanzilishi wa shule ya the Cranes Esther Serem ambaye alisema […]
-
GHARAMA YA MAISHA YAENDELEA KUKEKETA MAINI YA WAKENYA MAENEO MBALI MBALI.
Baadhi ya wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi wamelalamikia uongozi wa rais William Ruto wanaosema kwamba umepelekea kupanda maradufu gharama ya maisha nchini tangu alipoingia uongozini. Wakizungumza baada ya […]
-
TSC YAKIRI KUWEPO UPUNGUFU MKUBWA WA WALIMU KATIKA SHULE ZA MASHINANI POKOT MAGHARIBI.
Shule za maeneo ya mashinani kaunti ya Pokot magharibi zinakabiliwa na upungufu mkubwa wa walimu kutokana na hatua ya serikali kusitisha utekelezwaji wa sera ya kuwataka walimu kufunza mbali na […]
-
UBALOZI WA UHOLANZI WAIMARISHA MIKAKATI YA KUSHIRIKIANA NA SERIKALI YA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI.
Balozi wa uholanzi nchini Maarten Brouwer amefanya kikao na gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin kuangazia jinsi ambavyo serikali ya kaunti hiyo itashirikiana na taifa hilo katika maswala […]
Top News










