News
-
MKAGUZI WA BAJETI AAHIDI KUFUATILIA MIRADI AMBAYO INATEKELEZWA KATIKA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI.
Mdhibiti wa bajeti Margaret Nyakango yuko kaunti ya Pokot magharibi katika shughuli ya kukagua jinsi ambavyo serikali ya kaunti hiyo inaendeleza miradi mbali mbali na jinsi ambavyo fedha zimetumika katika […]
-
DUALE: VIKOSI VYA KDF VITAKITA KAMBI BONDE LA KERIO HADI UHALIFU UMALIZIKE.
Waziri wa ulinzi Aden Duale amesema kuwa maafisa wa kikosi cha ulinzi KDF hawataondolewa kwenye eneo la Kerio valley hadi wahalifu watakapokabiliwa. Akiongea kwenye ziara yake katika baadhi ya maeneo […]
-
WADAU WATAKIWA KUCHANGIA JUHUDI ZA KUHAKIKISHA WATOTO WOTE WANAHUDHURIA MASOMO POKOT MAGHARIBI.
Wadau katika sekta ya elimu kaunti ya Pokot magharibi wametakiwa kushirikiana na idara ya elimu katika kuhakikisha kwamba kila mtoto aliye katika umri wa kwenda shule anahudhuria masomo. Akizungumza afisini […]
-
KINDIKI ATARAJIWA KUZURU POKOT MAGHARIBI HUKU VISA VYA UVAMIZI VIKITAJWA KUPUNGUA.
Waziri wa usalama na maswala ya ndani ya nchi Prof. Kithure Kindiki anapotarajiwa kurejea katika kaunti ya Pokot magharibi kutathmini hali ya usalama hasa maeneo ya mipakani, wakazi wa kaunti […]
-
WAZAZI WALAUMIWA KWA KUKITHIRI MIMBA ZA MAPEMA MIONGONI MWA WANAFUNZI POKOT MAGHARIBI.
Katibu wa chama cha walimu nchini KNUT tawi la kaunti ya Pokot magharibi Martine Sembelo amewalaumu pakubwa wazazi kufuatia ongezeko la mimba za mapema miongoni mwa wanafunzi kaunti hiyo. Akizungumza […]
-
POKOT MAGHARIBI YAORODHESHWA MIONGONI MWA KAUNTI ZILIZO NA VISA VINGI VYA UGONJWA WA KIFUA KIKUU.
Takwimu zinaonyesha kwamba kaunti ya Pokot magharibi ni moja ya kaunti ambazo zinaongoza nchini kwa visa vya wanaougua ugonjwa wa kifua kikuu. Mkurugenzi wa shirika la QuadExcel Research Training and […]
-
BARAZA LA WAZEE POKOT MAGHARIBI LAPONGEZA KUACHILIWA MIFUGO WALIOKUWA WAMEZUILIWA UGANDA.
Mwenyekiti wa baraza la wazee eneo la pokot kusini kaunti ya Pokot magharibi Mastayit Lokales amepongeza hatua ya maafisa wa polisi wa taifa jirani la Uganda kuwaachilia mifugo wa wakazi […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUKUMBATIA BIASHARA YA USHANGA KATIKA KUJIKIMU KIMAISHA.
Wito umetolewa kwa wakazi wa kaunti ya Pokot magharibi hasa kina mama kukumbatia biashara ya ushanga ambayo imetajwa kuwa yenye manufaa makubwa na ambayo itawasaidia katika kukimu mahitaji yao ya […]
-
UTAMADUNI WATAJWA KUWA KIZINGITI KATIKA KUAFIKIWA USAWA WA KIJINSIA POKOT MAGHARIBI.
Tamaduni na imani za kijamii pamoja na siasa zimesalia changamoto kuu katika juhudi za kuafikiwa usawa wa kijinsia katika kaunti ya Pokot magharibi. Akizungumza katika hafla ya kuwahamasisha wanahabari kuhusiana […]
-
SHIRIKA LA ACF LAENDELEZA MIKAKATI YA KUKABILI ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIA NCHI POKOT MAGHARIBI.
Shirika la ACF limewapokeza makundi 28 ya wakulima kutoka maeneo ya Pokot ya Kaskazini, pokot kusini na pokot ya kati kaunti ya Pokot magharibi miche ya mipaipai, miembe na miparachichi […]
Top News










