News
-
SERIKALI POKOT MAGHARIBI YATETEA HATUA YA KUWAAJIRI WATAALAM WA KUTOA MAFUNZO KWA WAKULIMA.
Waziri wa kilimo, mifugo, uvuvi na unyunyiziaji maji mashamba kaunti ya Pokot magharibi Wilfred Longronyang amepuuzilia mbali madai kwamba kulikuwa na mapendeleo katika kuwaajiri wataalam wa kutoa ushauri kwa wakulima […]
-
UMASIKINI MIONGONI MWA KINA MAMA WATAJWA KUWA CHANZO KIKUU CHA DHULUMA ZA KIJINSIA.
Umasikini na hali ya wanawake kuwategemea zaidi waume zao kwa mahitaji yao mengi hasa ya kimsingi ndio maswala ambayo yametajwa kuchangia zaidi visa vya ukeketaji na dhuluma za kijinsia miongoni […]
-
MTU MMOJA AUAWA HUKU WAWILI WAKIJERUHIWA TURKWEL.
Mtu mmoja ameuliwa kwa kupigwa risasi huku wengine wawili wakiachwa na majeraha mabaya eneo la Turkwel kaunti ya Pokot magharibi katika shambulizi la hivi punde ambalo linaaminika kutekelezwa na wahalifu […]
-
MWANAMKE AWATEKETEZA WATOTO WA MKE MWENZA NA KUTOWEKA KAPCHOK, POKOT MAGHARIBI.
Polisi eneo la Kapchok kaunti ya Pokot magharibi wanamsaka mwanamke mmoja anayedaiwa kuwateketeza watoto watatu baada ya kuwafungia katika chumba ambacho kilikuwa kimeezekwa kwa nyasi katika kijiji cha Kalukuna wadi […]
-
SHULE YA UPILI YA KAPSAIT YANUFAIKA NA MRADI WA MAJI KUTOKA KANISA LA ST. GEORGES BAPTIST SOUTH CAROLINA USA.
Shule ya upili ya Kapsait eneo bunge la pokot kusini kaunti ya Pokot magharibi ni moja ya shule ambazo zimenufaika na mradi wa maji ambao umefadhiliwa na kanisa la St.Georges […]
-
RAIS RUTO AENDELEA KUPOKEA SHUTUMA KWA ‘KUKIUKA’ AHADI ALIZOTOA KWA WAKENYA KUHUSU GHARAMA YA MAISHA.
Baadhi ya wakazi wa kaunti ya Pokot magharibi wameelezea kusikitishwa na kile walisema kwamba rais William Ruto kwenda kinyume na ahadi ya kupunguza gharama ya maisha aliyotoa kwa wananchi wakati […]
-
BARAZA LA WAZEE POKOT MAGHARIBI LAENDELEZA MIKAKATI YA KUBUNI SHERIA ZA KUKABILI UKEKETAJI.
Harakati za kukabiliana na utamaduni wa ukeketaji katika kaunti ya pokot magharibi zimepigwa jeki baada ya baraza la wazee wa jamii ya pokot, kuahidi kuhusika katika vita dhidi ya mila […]
-
MIKWARUZANO YA KISIASA YAENDELEA TRANS NZOIA KUFUATIA SHINIKIZO LA KUBUNIWA KAUNTI MPYA YA MLIMA ELGON.
Viongozi wa chama cha Ford Kenya katika kaunti ya Trans nzoia wamewakosoa vikali baadhi ya viongozi katika kaunti hiyo ambao wanashinikiza kubuniwa kaunti mpya ya mlima Elgon kwa kumlaumu gavana […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUWATUMIA VIJANA WALIOASI WIZI WA MIFUGO KATIKA KUWAKABILI WAHALIFU BONDE LA KERIO.
Aliyekuwa gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Prof. John Lonyangapuo amependekeza kutumika vijana walioasi wizi wa mifugo kuwa maajenti wa serikali katika kuhakikisha amani inadumishwa katika kaunti za bonde la […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WATAKA USAWA KATIKA OPARESHENI YA KUWAKABILI WAHALIFU BONDE LA KERIO.
Mbunge wa pokot kusini David Pkosing ameendeleza shinikizo kwa waziri wa usalama na maswala ya ndani ya nchi Prof. Kithure Kindiki kuwaajiri maafisa wa akiba NPR katika kaunti ya Pokot […]
Top News










