News
-
MASHAMBULIZI YAENDELEA KUSHUHUDIWA TURKWEL LICHA YA IDARA YA USALAMA KUWAHAKIKISHIA WAKAZI USALAMA.
Watu wawili wakazi wa eneo la Turkwel katika kaunti ya Pokot magharibi wanauguza majeraha ya risasi katika hospitali ya Kapenguria baada kuvamiwa na watu wanaokisiwa kutoka kaunti jirani. Tukio hili […]
-
WAMILIKI WA SILAHA HARAMU KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WAPEWA MAKATAA YA SIKU SABA KUZISALIMISHA.
Zaidi ya bunduki 60 zimerejeshwa katika oparesheni ya kiusalama ambayo inaendelezwa na maafisa wa usalama maeneo ya mipakani pa kaunti ya Pokot magharibi na kaunti jirani ikiwemo Turkana, Elgeyo Marakwet […]
-
MIKAKATI YAENDELEZWA KUDUMISHA AMANI BAINA YA JAMII ZA POKOT, SEBEI NA KARAMOJONG, UGANDA.
Hali ya utulivu inaendelea kushuhudiwa baina ya jamii za pokot, sebei na karamojong zinazoishi katika taifa jirani la Uganda, kufuatia mikakati ya amani ambayo inaendelea kuwekwa na uongozi wa taifa […]
-
KAUNTI KAME NCHINI ZATARAJIWA KUNUFAIKA NA MIRADI ZAIDI KUTOKA SERIKALI YA USWIZI.
Serikali ya uswizi itaendelea kushirikiana na serikali za kaunti kame nchini kupitia miradi mbali mbali ili kukabili hali ngumu ambayo wakazi hukumbana nayo kutokana na hali ya ukame ambao unashuhudiwa […]
-
ZAIDI YA WANAFUNZI ALFU 7 WAREJESHWA SHULENI POKOT MAGHARIBI KUFUATIA USHIRIKIANO KATI YA IDARA YA ELIMU NA MASHIRIKA YA KIJAMII.
Zaidi ya wanafunzi alfu 7 ambao walikuwa wameacha masomo wamerejeshwa shuleni kufuatia harakati za kuwarejesha shuleni wanafunzi hao, ambazo zinaendelezwa na idara ya elimu kwa ushirikiano na mashirika mbali mbali […]
-
WANAFUNZI ALFU MOJA WA KIKE POKOT KASKAZINI WANUFAIKA NA SODO KUPITIA MPANGO WA BEYOND ZERO.
Idara ya afya kaunti ya Pokot magharibi imepokea sodo alfu moja kutoka kwa mpango wa beyond zero, ambao unatarajiwa kuendelea kusambaza vitambaa hivyo kila muhula kwa kipindi cha mwaka mmoja […]
-
POLISI WANASA LITA 40 ZA POMBE HARAMU KATIKA MSAKO ENEO LA LITYEI POKOT MAGHARIBI.
Maafisa wa polisi mjini Makutano katika kaunti ya Pokot magharibi wamenasa lita 40 za pombe katika boma la mkazi mmoja eneo la Lityei viungani mwa mji wa makutano, huku mtu […]
-
SHINIKIZO ZA KUBUNIWA KAUNTI MPYA YA POKOT MASHARIKI ZAENDELEA KUSHIKA KASI.
Shinikizo zimeendelea kutolewa na wakazi wa jamii ya Pokot ya kubuniwa kaunti mpya ya pokot mashariki eneo la Tiati ili kuhakikisha kwamba jamii ya pokot inayoishi eneo hilo wanapata huduma […]
-
MLINZI WA KENGEN AUGUZA MAJERAHA KWA KUVAMIWA NA WAHALIFU LOROGON.
Mkazi mmoja wa kutoka eneo la Lorogon kaunti ya Pokot magharibi anauguza majeraha katika hospitali ya kapenguria baada ya kupigwa risasi na wavamizi wanaoshukiwa kutoka kaunti jirani jumanne usiku. Kulingana […]
-
WAKAZI WA JAMII YA POKOT ENEO LA TIATI WASHINIKIZA KUBUNIWA KAUNTI YAO.
Viongozi kutoka jamii ya Pokot kaunti ya Baringo wameunga mkono pendekezo la kuongezwa idadi ya kaunti nchini wakidai kwamba hali hiyo itapelekea huduma sawa kwa jamii zote. Wakizungmza eneo la […]
Top News










