News
-
KACHAPIN ASISITIZA HAKIKISHO LAKE LA SHUGHULI ZA MASOMO KUREJELEWA KATIKA SHULE ZILIZOFUNGWA KUFUATIA UTOVU WA USALAMA.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ameendelea kuwahakikishia wakazi wa maeneo ya mipakani pa kaunti hiyo na kaunti jirani ambako masomo yalitatizika kufuatia utovu wa usalama kwamba shughuli […]
-
KASHEUSHEU: SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI NDIYO INAYOTENGA KIWANGO KIKUBWA CHA PESA ZA BASARI.
Mwakilishi wadi maalum Elijah Kasheusheu ameelezea kujitolea kwa serikali ya gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin katika kuimarisha sekta ya elimu. Kasheusheu alisema kwamba ni serikali ya gavana […]
-
KACHAPIN AAHIDI KUIMARISHA SHUGHULI YA UCHIMBAJI DHAHABU ROMUS.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ameahidi kwamba serikali yake itahakikisha wakazi wa eneo la Romus Pokot kaskazini wananufaika na shughuli ya uchimbaji dhahabu ikiwa ndio shughuli ambayo […]
-
JAMII KATIKA KAUNTI ZA POKOT MAGHARIBI, BARINGO NA ELGEYO MARAKWET ZATAKIWA KUJITENGA NA TAMADUNI YA UKEKETAJI.
Wito umetolewa kwa wakazi wa kaunti ya Pokot magharibi, Elgeyo marakwet na Baringo kujitenga na tamaduni za ukeketaji na badala yake kuangazia maswala ambayo yatapelekea jamii hizi kuafikia maendeleo na […]
-
HUDUMA ZA MATIBABU ZATARAJIWA KUIMARIKA KASEI BAADA YA KUFUNGULIWA ZAHANATI MBALI MBALI.
Waziri wa afya katika kaunti hii ya Pokot magharibi Cleah Parklea ametaja hatua ya kufunguliwa zahanati maeneo ya Chepelion, Lelmelo, Kamketo na Opol kuwa ya muhimu zaidi katika kuhakikisha huduma […]
-
WIZARA YA USALAMA YATAKIWA KUHARAKISHA MCHAKATO WA KUWAAJIRI MAAFISA WA NPR.
Mwakilishi wadi ya seker kaunti ya Pokot magharibi Jane Mengich ameitaka wizara ya usalama na maswala ya ndani ya nchi kuharakisha mchakato wa kuhakikisha maafisa wa akiba NPR wanaanza kuhudumu […]
-
SHUGHULI ZA MASOMO KUREJELEWA JANUARI KWENYE SHULE ZILIZOATHIRIKA NA UTOVU WA USALAMA POKOT MAFGHARIBI.
Waziri wa usalama na maswala ya ndani ya nchi Prof. Kithure Kindiki amewahakikishia wakazi wa maeneo ambako shughuli za masomo zilisitishwa kufuatia utovu wa uslama katika kaunti ya Pokot magharibi […]
-
WAAKILISHI WADI POKOT MAGHARIBI WASHIKILIA MSIMAMO WAO WA KUSITISHWA MARA MOJA KOMBE LA MURKOMEN.
Waakilishi wadi katika kaunti ya Pokot magharibi wamesisitiza msimamo wao kwamba kombe la murkomen ambalo linaandaliwa kwa ajili ya kuhimiza amani katika kaunti za bonde la kerio linafaa kusitishwa mara […]
-
WALIMU WA JSS WATISHIA KUSAMBARATAISHA SHUGHULI ZA MASOMO JANUARI IWAPO HAWATAAJIRIWA KWA MKTABA WA KUDUMU.
Walimu wa shule za sekondari ya msingi JSS katika katika kaunti ya Pokot magharibi wametishia kwamba watagoma kuanzia januari mwaka ujao iwapo tume ya huduma kwa walimu TSC haitawaajiri kwa […]
-
KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI HATIMAYE YAPEWA MAAFISA WA NPR BAADA YA SHINIKIZO ZA MUDA.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ameipongeza serikali kupitia wizara ya usalama na maswala ya ndani ya nchi kwa kuhakikisha kwamba kaunti hiyo pia inapewa maafisa wa akiba […]
Top News










