News
-
UMASIKINI MIONGONI MWA KINA MAMA WATAJWA KUWA CHANZO CHA DHULUMA ZA KIJINSIA POKOT MAGHARIBI.
Umasikini miongoni mwa kina mama ni miongoni mwa maswala ambayo yametajwa kuwa vyanzo vikuu vya dhuluma za kijinsia katika jamii kaunti ya Pokot magharibi kwenye mafunzo ambayo yanatolewa kwa akina […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAENDELEZA MIKAKATI YA KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI WAFUGAJI.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi kwa ushirikiano na shirika la GIZ inaandaa nakala ya mpango ambao utakuwa ukitumika katika uwekezaji hasa kwenye sekta ya mifugo na maswala ambayo yanapasa […]
-
WAKAZI WA KAPENGURIA WAHIMIZWA KUTUMA MAOMBI YA FEDHA ZA BASARI KUTOKA HAZINA YA CDF.
Wakazi wa eneo bunge la Kapenguria katika kaunti ya Pokot Magharibi wamehakikishiwa kwamba shughuli ya utoaji wa fedha za basari kutoka kwa hazina ya CDF itatekelezwa kwa uwazi. Katika taarifa […]
-
KACHAPIN ASISITIZA HAKIKISHO LAKE LA SHUGHULI ZA MASOMO KUREJELEWA KATIKA SHULE ZILIZOFUNGWA KUFUATIA UTOVU WA USALAMA.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ameendelea kuwahakikishia wakazi wa maeneo ya mipakani pa kaunti hiyo na kaunti jirani ambako masomo yalitatizika kufuatia utovu wa usalama kwamba shughuli […]
-
KASHEUSHEU: SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI NDIYO INAYOTENGA KIWANGO KIKUBWA CHA PESA ZA BASARI.
Mwakilishi wadi maalum Elijah Kasheusheu ameelezea kujitolea kwa serikali ya gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin katika kuimarisha sekta ya elimu. Kasheusheu alisema kwamba ni serikali ya gavana […]
-
KACHAPIN AAHIDI KUIMARISHA SHUGHULI YA UCHIMBAJI DHAHABU ROMUS.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ameahidi kwamba serikali yake itahakikisha wakazi wa eneo la Romus Pokot kaskazini wananufaika na shughuli ya uchimbaji dhahabu ikiwa ndio shughuli ambayo […]
-
JAMII KATIKA KAUNTI ZA POKOT MAGHARIBI, BARINGO NA ELGEYO MARAKWET ZATAKIWA KUJITENGA NA TAMADUNI YA UKEKETAJI.
Wito umetolewa kwa wakazi wa kaunti ya Pokot magharibi, Elgeyo marakwet na Baringo kujitenga na tamaduni za ukeketaji na badala yake kuangazia maswala ambayo yatapelekea jamii hizi kuafikia maendeleo na […]
-
HUDUMA ZA MATIBABU ZATARAJIWA KUIMARIKA KASEI BAADA YA KUFUNGULIWA ZAHANATI MBALI MBALI.
Waziri wa afya katika kaunti hii ya Pokot magharibi Cleah Parklea ametaja hatua ya kufunguliwa zahanati maeneo ya Chepelion, Lelmelo, Kamketo na Opol kuwa ya muhimu zaidi katika kuhakikisha huduma […]
-
WIZARA YA USALAMA YATAKIWA KUHARAKISHA MCHAKATO WA KUWAAJIRI MAAFISA WA NPR.
Mwakilishi wadi ya seker kaunti ya Pokot magharibi Jane Mengich ameitaka wizara ya usalama na maswala ya ndani ya nchi kuharakisha mchakato wa kuhakikisha maafisa wa akiba NPR wanaanza kuhudumu […]
-
SHUGHULI ZA MASOMO KUREJELEWA JANUARI KWENYE SHULE ZILIZOATHIRIKA NA UTOVU WA USALAMA POKOT MAFGHARIBI.
Waziri wa usalama na maswala ya ndani ya nchi Prof. Kithure Kindiki amewahakikishia wakazi wa maeneo ambako shughuli za masomo zilisitishwa kufuatia utovu wa uslama katika kaunti ya Pokot magharibi […]
Top News










