News
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WATAKA KOMBE LA MURKOMEN KUSITISHWA KWA KUKOSA KUAFIKIA MALENGO YA KULETA AMANI.
Baadhi ya viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi sasa wanataka mashindano ya kombe la Murkomen, kusitishwa mara moja kwa kile wamedai kwamba yamekosa kuafikia malengo ya kuhakikisha amani katika kaunti […]
-
KACHAPIN ASHINIKIZA SHULE ZILIZOFUNGWA KUTOKANA NA UTOVU WA USALAMA KUFUNGULIWA JANUARI.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ametoa wito kwa serikali kuweka mikakati ya kuhakikisha kwamba masomo yanarejelewa mwezi januari, katika shule ambazo zilifungwa maeneo ambayo yamekuwa yakishuhudia utovu […]
-
WALIMU POKOT MAGHARIBI WAPONGEZWA KWA MATOKEO BORA YA KCPE.
Katibu mkuu wa chama cha walimu nchini KNUT tawi la Pokot magharibi Martine Sembelo amewashukuru walimu na wazazi kwa kushirikiana na kuhakikisha kwamba wanafunzi katika kaunti hiyo wanafanya vyema katika […]
-
ST. MARYS ASSUMPTION NA KAPENGURIA TOWN VIEW ZANG’ARA KATIKA MTIHANI WA KCPE POKOT MAGHARIBI.
Shule mbali mbali kaunti ya Pokot magharibi zimeendelea kusherehekea matokeo bora katika mtihani wa kitaifa kwa darasa la nane KCPE ambayo yalitangazwa na waziri wa elimu Ezekiel Machogu ikizingatiwa ndio […]
-
POLISI WA UGANDA WASUTWA KWA KUHATARISHA USALAMA WA WAKAZI WA KANYERUS POKOT MAGHARIBI.
Wakazi wa Kijiji cha Nasitit eneo la Kanyerus eneo bunge la Kacheliba katika kaunti ya Pokot magharibi wamelalamikia kudorora kwa hali ya usalama eneo hilo la mpakani pa kaunti hiyo […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUANZISHA NA KUSAJILI BIASHARA ZAO ILI KUNUFAIKA NA KANDARASI KUTOKA KWA SERIKALI.
Kampuni ya kuzalisha umeme KenGen inaendeleza uhamasisho kwa makundi ya vijana, wanawake pamoja na ya walemavu kuhusu jinsi ya kupata kandarasi za serikali zinazotolewa kwa makundi hayo kwa lengo la […]
-
WANANCHI WATAKIWA KUMPA MUDA RAIS RUTO ANAPOENDELEA KUSHUGHULIKIA GHARAMA YA MAISHA.
Baadhi ya viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wamemtetea rais William Ruto kutokana na shutuma ambazo zinaelekezwa kwa serikali yake kufuatia sera mbovu za kufufua uchumi ambazo zimetajwa kupelekea kupanda […]
-
WAKAZI WA KANYERUS WAPONGEZWA KWA KUKUMBATIA WITO WA UJENZI WA VYOO.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi ipo tayari kushirikiana na mashirika mbali mbali ambayo yanaendeleza miradi ya kuwanufaisha wakazi wa kaunti hiyo, ili kuhakikisha kwamba wananchi wanapata huduma kwa viwango […]
-
VIONGOZI WA UDA POKOT MAGHARIBI WAPONGEZA HATUA YA KUAHIRISHWA UCHAGUZI WA CHAMA MASHINANI.
Viongozi wa chama cha UDA kaunti ya Pokot magharibi wameunga mkono hatua ya kuahirishwa uchaguzi wa mashinani wa chama hicho ambao ulikuwa umeratibiwa kuandaliwa tarehe 9 mwezi desemba hadi mwezi […]
-
WAFUGAJI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUTOKOMEZA UGONJWA WA MIGUU NA MIDOMO.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi kupitia wizara ya kilimo imekeriri kujitolea kuhakikisha kwamba inamaliza ugonjwa wa mifugo wa miguu na midomo, ikitoa wito kwa wafugaji kushirikiana nayo katika juhudi […]
Top News