News
-
Mulongo aahidi kupanda miti kwa juhudi baada ya kupokonywa sindano
Debora Barasa Mulongo Akipanda miti,Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Waziri wa afya anayeondoka Debora Barasa Mulongo amepongeza hatua ya rais William Ruto kumteua kuwa waziri wa mazingira katika mabadiliko ya hivi […]
-
Serikali yaendelea kuweka mikakati ya kuhakikisha wanafunzi wanahudhuria masomo
Wanafunzi waelekea kupata chakula kupitia mpango wa lishe shuleni, Picha/Benson Aswani Na Emmanuel OyasiShule mbali mbali eneo bunge la Kacheliba katika kaunti ya Pokot magharibi zimenufaika na chakula kutoka kwa […]
-
Viongozi Pokot Magharibi walaumiwa kwa wakazi kutopata teuzi katika serikali kuu
Daktari Samwel Poghisio,Picha / Maktaba Na Benson Aswani,Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio amewasuta viongozi katika kaunti hiyo kwa kile alisema kutochukua hatua yoyote kuwatetea wakazi kupata […]
-
Viongozi pokot magharibi waomboleza watu wanne walioangamia katika ajali, Uganda
Gari lililohusika Kwenye ajali Tapaach, Picha/Maktaba Na Benson Aswani,Viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kuomboleza vifo vya watu wanne, walioangamia kufuatia ajali mbaya ya barabarani jumamosi usiku kwenye eneo […]
-
Wakulima Pokot magharibi wahimizwa kuanza upanzi
Shamba ambalo Linatayarishwa kwa Upanzi Wa mahindi,picha/Maktaba Na Benson Aswani,Idara ya kilimo katika kaunti ya Pokot magharibi imetoa wito kwa wakulima kuanza shughuli ya upanzi wakati huu ambapo kumeendelea kushuhudiwa […]
-
Ukosefu wa sheria za misitu ndicho chanzo cha uharibifu wa mazingira
Msitu wa Kamatira Kaunti Ya Pokot Magharibi,Picha/Maktaba Na Benson Aswani,Idara ya mazingira na mali asili katika kaunti ya Pokot magharibi imetaja ukosefu wa sheria za kulinda mazingira dhidi ya uharibifu […]
-
6 wakamatwa Tambalal, Pokot magharibi kufuatia mzozo wa ardhi
Gari la Polisi Likisafirisha Watu waliokamatwa Tambalal Kamatira,Picha/Benson Aswani Na Emmanuel Oyasi,Taharuki imetanda katika kijiji cha Tambalal eneo la Kamatira, Kaunti Ndogo ya Kipkomo katika Kaunti ya Pokot Magharibi baada […]
-
Wazee walalamikia kucheleweshwa mgao wao
Baraza la wazee katika kaunti ya Pokot Magharibi,Picha/Maktaba Na Benson Aswani,Baraza la wazee katika kaunti ya pokot magharibi wamelalamikia kucheleweshwa fedha ambazo zinatolewa kwa ajili ya wazee. Wakiongozwa na mwenyekiti […]
-
Mkutano wa kuangazia changamoto za jamii ya wafugaji waandaliwa Moroto Uganda
Ujumbe wa Ushirikiano Kati Ya Kaunti Za Pokot Magharibi ,Turkana na Taifa Jirani la Uganda ,Picha /Benson Aswani Na Emmanuel Oyasi,Mkutano wa kuhimiza ushirikiano kati ya kaunti za Pokot magharibi […]
-
Mahakama ya Kapenguria yazindua kitengo cha upatanishi
Hakimu Wa Mahama Ya Kapenguria Stelah Telewa {kulia} Akifungua Afisi ya Kitengo cha Upatanishi ,Picha/Benson Aswan Na Benson Aswani,Mahakama kuu ya Kapenguria kaunti ya Pokot magharibi imezindua rasmi kitengo cha […]
Top News