News
-
Gavana Kachapin atia saini mswada wa kukabili umasikini Pokot magharibi
Na Benson Aswani,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ametia saini kuwa sheria mswada utakaoiwezesha serikali ya kaunti kutenga kisheria fedha ambazo zitasaidia katika kuimarisha maisha ya wakazi wa […]
-
Lochakapong ataka swala la uchimbaji madini kutoingiza siasa Pokot magharibi
Na Benson Aswani,Mjumbe wa sigor kaunti ya Pokot magharibi Peter lochakapong amewasuta baadhi ya viongozi wa kisiasa katika kaunti hiyo kwa kile amedai wameingiza siasa katika swala zima la uchimbaji […]
-
Serikali ya Kenya kwanza imejitolea kuimarisha maisha ya mwananchi; Arumonyang
Na Benson Aswani,Katibu wa idara ya kazi za umma Joel Arumonyang ametetea miradi ya maendeleo ambayo inaendelezwa na serikali yake rais William Ruto, akisema serikali kuu imejitolea kuimarisha maisha ya […]
-
Kampuni ya kutengeneza mfumo wa upitishaji maji taka yalaumiwa kwa kutelekeza miradi ya maendeleo Kaplelach Koror
Na Emmanuel Oyasi,Wakazi eneo la Kaplelach koror eneo bunge la Kapenguria kaunti ya Pokot magharibi wamelalamikia kutelekezwa miradi ambayo inapaswa kutekelezwa na kampuni ambayo imepewa kandarasi ya kutengeneza mfumo wa […]
-
Wachimba migodi Pokot Magharibi watakiwa kulinda ardhi ya wakazi
Na Benson Aswani,Mbunge wa Sigor katika kaunti ya Pokot magharibi Peter Lochakapong amelalamikia madhara ambayo yamesababishwa na wachimbaji madini eneo la Lami nyeusi katika ardhi ya eneo hilo. Akizungumza katika […]
-
Zoezi la kutwaa silaha haramu bonde la kerio linaendelea vyema; Murkomen
Na Benson Aswani,Waziri wa usalama na maswala ya ndani ya nchi Kipchumba Murkomen ameelezea imani kwamba zoezi la kutwaa silaha zinazomilikiwa kinyume cha sheria na baadhi ya wakazi wa kaunti […]
-
Mwekezaji Salah Okech aanzisha mradi wa chakula kwa wakazi Songok
Na Benson Aswani,Wakazi wa maeneo ambako kunaendelezwa shughuli ya uchimbaji madini kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kunufaika na huduma ambazo zinatolewa na baadhi ya wawekezaji katika sekta hiyo maeneo hayo. […]
-
Vijana watakiwa kujitosa kwenye kilimo na kutotegemea kazi za afisini
Na Benson Aswani,Wito umetolewa kwa vijana katika kaunti ya Pokot magharibi kujitosa katika kilimo ili kujipatia riziki za kila siku badala ya kutegemea kuajiriwa katika kazi za afisini ambazo zimekuwa […]
-
Kaunti ya Pokot Magharibi yapokea dawa za kima cha shilingi milioni 70 kutoka KEMSA
Na Benson Aswani,Huduma za matibabu katika kaunti ya Pokot magharibi zinatarajiwa kuimarika baada ya kaunti hiyo kupokea dawa na vifaa vya matibabu vya kima cha shilingi milioni 70 kutoka kwa […]
-
Wadau walalamikia kutelekezwa shule za mashinani katika utekelezwaji mtaala wa CBE
Na Benson Aswani,Wito umetolewa kwa serikali kuwekeza zaidi katika elimu ya watoto hasa maeneo ya mashinani ambako wanakabiliwa na changamoto za kupata huduma ya viwango vinavyostahili vya elimu ya CBE. […]
Top News










