News
-
Viongozi washutumu kuchipuka tena utovu wa usalama mipakani pa Pokot na Turkana
Na Benson Aswani,Viongozi kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kushutumu visa vya mauaji ambavyo vimeshuhudiwa mipakani pa kaunti hiyo na kaunti jirani ya Turkana katika siku za hivi karibuni. Wa hivi […]
-
Viongozi watakiwa kujitenga na siasa na kuwahudumia wananchi
Na Benson Aswani,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ametoa wito kwa viongozi kushirikiana katika kuhakikisha kwamba wakazi wa kaunti hii wanapokea huduma bora. Akizungumza katika hafla moja mjini […]
-
Viongozi Pokot magharibi walaani kuchipuka tena utovu wa usalama mpakani pa Pokot na Turkana
Na Benson Aswani,Gavana wa kaunti ya pokot magharibi simon kachapin amelaani mauaji ya watu watatu waliopigwa risasi katika kijiji cha Loperumoi, Morita–Rumos, mpakani pa kaunti hiyo na ile ya Turkana. […]
-
Owalo aongoza ukaguzi wa mradi wa maji wa Muruny Pokot magharibi
Na Benson Aswani,Mradi wa maji wa Muruny kaunti ya Pokot magharibi utawafaidi zaidi ya watu alfu 350 punde utakapokamilika. Akizungumza baada ya kuongoza ukaguzi wa mradi huo, naibu mkuu wa […]
-
Serikali ya kaunti yatoa hundi ya shilingi milioni 19 kwa makundi ya wakulima Karas
Na Benson Aswani,Makundi 19 ya wakulima eneo la Karas kaunti ya Pokot magharibi yamenufaika na shilingi milioni 19 kutoka kwa serikali ya kaunti kama ufadhili wa kuyawezesha kuendeleza shughuli zao […]
-
Kachapin apongeza juhudi za viongozi waliopigania ugatuzi
Na Benson Aswani,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin amepongeza mashujaa anaosema walipigania ukombozi wa pili wa taifa, hali iliyopelekea kuwepo serikali za magatuzi ambazo zimeleta manufaa makubwa kwa […]
-
Wadau waendeleza mikakati ya kuimarisha kilimo Pokot Magharibi
Na Emmanuel Wakoli,Wadau mbali mbali katika kaunti ya Pokot magharibi wanaendeleza ushirikiano kwa pamoja na idara ya kilimo kaunti hiyo ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabia nchi kwenye […]
-
Idara ya usajili yapelekea huduma ya vitambulisho mashinani Pokot Magharibi
Na Angela Cherono,Idara ya usajili wa watu nchini inaendeleza zoezi la kuwasajili wakazi maeneo ya mashinani katika kaunti za maeneo kame nchini ambao wametimu umri wa kupata vitambulisho vya kitaifa […]
-
Viongozi waendelea kutuma risala za rambi rambi kufuatia kifo cha Raila Odinga
Na Benson Aswani,Viongozi mbali mbali nchini wameendelea kuomboleza kifo cha aliyekuwa waziri mkuu Raila Odinga ambaye aliaga dunia mapema jana akiwa nchini India. Gavana wa kaunti ya Pokot Magharibi Simon […]
-
Poghisio ashutumu kuchipuka tena visa vya uvamizi kwenye mipaka ya Pokot Magharibi na Turkana
Na Benson Aswani,Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio ameshutumu vikali visa vya uvamizi ambavyo vimeanza kushuhudiwa tena mipakani pa kaunti hiyo na kaunti jirani ya Turkana. Akizungumza […]
Top News










