News
-
Kikundi cha Her Lab, Murpus chapongezwa kwa kuwaimarisha kina mama kiuchumi
Na Benso Aswani,Wajasiriamali kutoka mashirika mbali mbali nchini walikutana jumatano na makundi ya kina mama eneo la Murpus katika kaunti ya Pokot magharibi kubadilishana mawazo kuhusu jinsi ya kujiwezesha na […]
-
Poghisio alalamikia madhara yanayosababishwa na kiwanda cha saruji cha Sebit
Na Emmanuel Oyasi,Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio ameelezea haja ya kupanuliwa kiwanda cha saruji cha Sebit ili kiwe na uwezo wa kutengeneza simiti kikamilifu na kuzuia […]
-
Shughuli ya uchimbaji dhahabu yasitishwa rasmi Pokot magharibi
Na Emmanuel Oyasi,Serikali ya kitaifa imeagiza kufungwa mara moja zaidi ya migodi 500 ambayo imekuwa ikitumika kuchimba dhahabu katika kaunti ya Pokot magharibi. Akizungumza Jumatatu baada ya kikao na wadau […]
-
Serikali yatakiwa kuweka mikakati ya kukabili baa la njaa Turkwel
Na Emmanuel Oyasi,Wakazi wengi wa eneo la Turkwel kaunti ya Pokot magharibi wanakabiliwa na njaa kutokana na kutokuwepo na mikakati ya kuwahusisha katika shughuli za kilimo cha mimea, na hivyo […]
-
Bunge la kaunti ya Pokot Magharibi lapitisha sheria itakayoruhusu kuachiliwa fedha za basari
Na Benson Aswani,Kwa muda mrefu fedha za basari katika kaunti ya Pokot magharibi zimekuwa zikitolewa kwa wanafunzi bila ya sheria rasmi ya kuongoza jinsi fedha hizo zinatolewa. Ni kutokana na […]
-
Wizara ya madini yaweka mikakati ya kudhibiti uchimbaji madini Pokot magharibi
Na Benson Aswani,Wizara ya madini imezindua afisi yake mjini Kapenguria katika kaunti ya Pokot magharibi katika juhudi za kuimarisha sekta hiyo na kuhakikisha kwamba shughuli ya uchimbaji madini inatekeleza kwa […]
-
Idara ya elimu Pokot magharibi yalaumiwa kwa changamoto zinazoshuhudiwa
Na Emmanuel Oyasi,Mbunge wa Kapenguria Samwel Moroto ameusuta uongozi wa elimu katika kaunti ya Pokot magharibi kwa kususia hafla muhimu ambazo zinahusu maswala ya elimu. Akizungumza wakati akizundua fedha za […]
-
Gavana Kachapin amlaumu seneta Murgor kwa kusimamishwa fedha za basari
Gavana wa kaunti ya Pokot Magharibi Simon Kachapin, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ameendelea kumlaumu seneta wa kaunti hiyo Julius Murgor kwa kile […]
-
Wakazi waonywa dhidi ya utapeli Konyao
Na Benson Aswani,Wakazi wa eneo la Konyao eneo bunge la Kacheliba katika kaunti ya Pokot magharibi wametahadharishwa dhidi ya kutapeliwa na baadhi ya watu wanaozunguka wakidai kuwasajili ili wafidiwe […]
-
Uchimbaji haramu wa madini wazidi kuibua tumbojoto pokot magharibi
Aliyekuwa gavana wa kaunti ya Pokot Magharibi John Lonyangapuo, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kulalamikia uchimbaji madini haramu ambao unaendelezwa na watu fulani. Wakizungumza […]
Top News