News
-
Wabunge waelezea hofu ya usalama kufuatia mauaji ya Were
Peter Lochakapong mbunge wa Sigor kaunti ya pokot magharibi, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Viongozi wa matabaka mbali mbali nchini wameendelea kutoa hisia zao kuhusiana na mauaji ya mbunge wa Kasipul […]
-
Shule ya Sangak yakabidhiwa wizara ya elimu, wakazi wakihimizwa kukumbatia elimu
Gavana Simon Kachapin akikagua madarasa kwenye shule ya Sangak, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Wakazi wa eneo la lami Nyeusi eneo bunge la Sigor katika kaunti ya Pokot magharibi wametakiwa kuwapeleka […]
-
NG-CDF yaungwa mkono pakubwa shughuli ya kukusanya maoni ikiingia siku ya pili
Wakaazi wa sigor wakishiriki vikao vya maoni kuhusu NG-CDF, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Shughuli ya kutoa maoni kuhusu hazina ya ustawishaji maeneo bunge NG-CDF inaingia jumanne siku ya pili huku […]
-
Viongozi bonde la Kerio wakabana koo kuhusu utendakazi wa Murkomen
Samwel Moroto mbunge wa Kapenguria,Picha/Maktaba Emmanuel Oyasi,Baadhi ya viongozi wa kisiasa katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamemtetea waziri wa usalama na maswala ya ndani ya nchi Kipchumba murkomen dhidi […]
-
Hofu huku visa vya uvamizi vikianza kuchipuka tena Kerio Valley
David Chepelion afisa mkuu wa maswala ya amani kaunti ya pokot magharibi, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Wadau mbali mbali wa usalama katika kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kuelezea wasiwasi kuhusu […]
-
Tunapasa kubadilisha dhana ya kutegemea ufugaji kupitia elimu; Mastaluk
Richard Mastaluk Mwakilishi wadi ya Kapenguria, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Viongozi wa kisiasa katika kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kuwahimiza wazazi kukumbatia elimu ya wanao kwa manufaa ya maisha yao […]
-
Wazazi wahimizwa kuwekeza katika elimu ya wanao
Kina mama katika kaunti ya Pokot magharibi,Picha/Benson Aswani Na Emmanuel Oyasi,Kina mama katika kaunti ya Pokot magharibi wametakiwa kuwa msitari wa mbele kukumbatia elimu kwa ajili ya wanao hasa wa […]
-
Poghisio aitaka serikali kukoma mtindo wa ukopaji
Samwel Pogihisio aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi, Picha/Maktaba Na Benson AswaniMiito imeendelea kutolewa kwa uongozi wa serikali ya kenya kwanza chini ya rais William Ruto kupunguza madeni ambayo […]
-
Tukome kuzungumzia mabaya ya serikali, tuangazie mema; Lotee
Titus Lotee Mbunge wa Kacheliba kaunti ya Pokot magharibi, Picha/Benson Aswani Na Emmanuel Oyasi,Wandani wa rais William Ruto katika kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kumtetea kutokana na utendakazi wake tangu […]
-
Jamii ya Sengwer yataka kuzingatiwa katika nyadhifa za ajira
Wazee wa Jamii ya Sengwer katika kaunti ya Pokot magharibi,Picha/Maktaba Na Benson Aswani,Jamii ya Sengwer katika kaunti ya Pokot magharibi imeitaka serikali kuitengea nyadhifa za kazi wakati wa zoezi la […]
Top News