News
-
Lonyangapuo ajitetea dhidi ya matumizi mabaya ya afisi
Aliyekuwa gavana wa kuanti ya Pokot Magharibi John Longangapuo, Picha/Benson Aswan Na Benson Aswani,Aliyekuwa gavana wa kaunti ya pokot magharibi prof. John lonyangapuo amelalamikia matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii, […]
-
Ripple effect yabadili desturi ya ufugaji hadi kilimo cha mimea Pokot magharibi
Mboga ya sukuma wiki katika shamba la mmoja wa wakulima, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Wakulima mbali mbali eneo la Kamito kaunti ya Pokot magharibi wamenufaika na mafunzo ya kilimo kutoka […]
-
Wakazi Siyoi wapunguziwa mahangaiko ya kutafuta maji
Mradi wa maji Siyoi, Picha/Benson Aswani Na Emmanuel Oyasi,Wakazi wa Siyoi kaunti ya Pokot magharibi wamepata afueni baada ya serikali ya kaunti kupitia wizara ya maji kuzindua mradi wa maji […]
-
TSC yaahidi kushughulikia uhaba wa walimu Pokot magharibi
Gavana wa kaunti ya pokot magharibi Simon Kachapin akikagua jengo la shule ya Siyoi, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin amewahakikishia wakazi wa kaunti […]
-
Poghisio awasuta wanaopongeza mateso waliyopitia wanaharakati nchini Tanzania
Aliyekuwa seneta wa kaunti ya pokot magharibi Samwel Poghisio,Picha/Maktaba Na Benson Aswani,Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio amewasuta vikali baadhi ya viongozi ambao wameonekana kupongeza hatua ya […]
-
Shule ya upili ya Tartar yafungwa ghafla kufuatia maandamano ya wanafunzi
Wanafunzi wa shule ya upili ya Tartar wakiwa nje ya afisi ya mkurugenzi wa elimu, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Shule ya upili ya Tartar kaunti ya Pokot magharibi imefungwa kwa […]
-
KVDA yasambaza miche kwa shule za bonde la Kerio
Mkurugenzi mkuu wa KVDA Sammy Naporos akishiriki zoezi la upanzi wa miche, Picha/Angela Cherono Na Emmanuel Oyasi,Mamlaka ya mandeleo eneo la Kerio Valley KVDA inapeana miche milioni moja na laki […]
-
Wakfu wa Safaricom waikabidhi zahanati ya Kreswo vifaa vya matibabu
Maafisa kutoka wakfu wa safaricom wakikabidhi zahanati ya Kreswo vifaa vya matibabu,Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Zahanati ya Kreswo katika wadi ya Riwo kaunti ya Pokot magharibi imepigwa jeki baada ya […]
-
Lotee akemea hazina ya taifa kwa kuchelewesha fedha za CDF
Mbunge wa kacheliba akizundua Basari,Picha/Joseph Lochele Na Emmanuel Oyasi,Mbunge wa Kacheliba katika kaunti ya Pokot magharibi Titus Lotee amezindua basari ya kima cha shilingi 60,000,000, katika hafla ambayo iliandaliwa alhamisi […]
-
Jopo la kuangazia dhuluma za jinsia laandaa vikao vya umma
Wakaazi wa kaunti ya pokot magharibi wakitoa maoni kuhusu dhuluma za kijinsia, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Jopokazi la kuangazia swala la dhuluma za jinsia linaendeleza zoezi la kuwahusisha wananchi katika […]
Top News