News
-
Vijana kutoka jamii za Pokot na Marakwet wadumisha amani kupitia miradi ya kilimo
Na Emmanuel Oyasi,Hatua ya makundi ya vijana kutoka maeneo ya Cheptulel kaunti ya Pokot magharibi na Kaben kaunti jirani ya Elgeyo marakwet kuja pamoja na kuanzisha miradi ya kilimo imechangia […]
-
Serikali yahimizwa kulainisha usimamizi wa shule za JSS, kuzuia migogoro zaidi
Na Emmanuel Oyasi,Walimu wa shule za sekondari msingi JSS kaunti ya Pokot Magharibi sasa wanaitaka serikali kupitia wizara ya elimu kulainisha swala la usimamizi wa shule za sekondari msingi, kalenda […]
-
Uchimbaji madini ulituletea hasara kubwa na haufai kuruhusiwa tena kiholela; Moroto
Na Emmanuel Oyasi,Viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kulalamikia madhara ambayo yalisababishwa na shughuli ya uchimbaji madini iliyokuwa ikiendeshwa maeneo kadhaa ya kaunti hiyo bila kufuata taratibu. Wakiongozwa na […]
-
Idara ya usalama Pokot Magharibi yaimarisha juhudi za kukabili uhalifu masokoni
Na Emmanuel Oyasi,Kamanda wa polisi kaunti ya Pokot magharibi Abdulahi Jire amewahakikishia wakazi wa kaunti hiyo kwamba usalama umeimarishwa hasa katika masoko na vituo vya biashara ili kuhakikisha visa vya […]
-
Makamishina wapya wa IEBC wakabiliwa na mtihani wa kwanza afisini
Na Emmanuel Oyasi,Makamishina wapya wa tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC wanakabiliwa alhamisi Desemba 27 na mtihani wao wa kwanza katika kusimamia shughuli ya uchaguzi nchini tangu walipoingia […]
-
Kanisa la ACK Pokot magharibi latafuta suluhu kwa migogoro ya uongozi
Na Benson Aswani,Kanisa la ACK dayosisi ya Kapenguria kaunti ya Pokot magharibi linaendeleza mikakati ya kusuluhisha mizozo ambayo imekuwa ikishuhudiwa katika kanisa hilo kwa muda sasa hali ambayo imepelekea kuchipuka […]
-
Kampuni ya mawasiliano ya Safaricom yajumuika na wakazi wa Pokot magharibi kusherehekea miaka 25
Na Benson AswaniKampuni ya mawasiliano nchini Safaricom inazuru maeneo mbali mbali ya kaunti ya Pokot magharibi kuungana na wananchi katika maadhimisho ya miaka 25 tangu kuzinduliwa hapa nchini. Akizungumza alipoongoza […]
-
Walimu wa JSS waendeleza shinikizo la kutaka kujisimamia
Na Benson Aswani,Walimu wa shule za sekondari msingi JSS wameendelea kushinikiza shule hizo kuondolewa chini ya usimamizi wa shule za msingi na badala yake kupewa uhuru wa kujisimamia. Wakiongozwa na […]
-
Wakazi Kacheliba walalamikia nafasi chache za usajili wa makurutu wa polisi
Na Emmanuel Oyasi,Wakazi wa eneo bunge la Kacheliba kaunti ya Pokot magharibi wamelalamikia nafasi chache ambazo eneo hilo lilitengewa katika zoezi la usajili wa makurutu wa polisi ambalo limefanyika jana. […]
-
Kaunti ya Turkana yamulikwa kwa kutosalimisha silaha haramu
Na Benson Aswani,Takriban silaha alfu moja zinazomilikiwa kinyume cha sheria kanda ya kaskazini mwa bonde la ufa zimesalimishwa kufikia sasa kutokana na agizo la serikali, kama njia moja ya kukabili […]
Top News










