News
-
Kampuni ya kutengeneza mfumo wa upitishaji maji taka yalaumiwa kwa kutelekeza miradi ya maendeleo Kaplelach Koror
Na Emmanuel Oyasi,Wakazi eneo la Kaplelach koror eneo bunge la Kapenguria kaunti ya Pokot magharibi wamelalamikia kutelekezwa miradi ambayo inapaswa kutekelezwa na kampuni ambayo imepewa kandarasi ya kutengeneza mfumo wa […]
-
Wachimba migodi Pokot Magharibi watakiwa kulinda ardhi ya wakazi
Na Benson Aswani,Mbunge wa Sigor katika kaunti ya Pokot magharibi Peter Lochakapong amelalamikia madhara ambayo yamesababishwa na wachimbaji madini eneo la Lami nyeusi katika ardhi ya eneo hilo. Akizungumza katika […]
-
Zoezi la kutwaa silaha haramu bonde la kerio linaendelea vyema; Murkomen
Na Benson Aswani,Waziri wa usalama na maswala ya ndani ya nchi Kipchumba Murkomen ameelezea imani kwamba zoezi la kutwaa silaha zinazomilikiwa kinyume cha sheria na baadhi ya wakazi wa kaunti […]
-
Mwekezaji Salah Okech aanzisha mradi wa chakula kwa wakazi Songok
Na Benson Aswani,Wakazi wa maeneo ambako kunaendelezwa shughuli ya uchimbaji madini kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kunufaika na huduma ambazo zinatolewa na baadhi ya wawekezaji katika sekta hiyo maeneo hayo. […]
-
Vijana watakiwa kujitosa kwenye kilimo na kutotegemea kazi za afisini
Na Benson Aswani,Wito umetolewa kwa vijana katika kaunti ya Pokot magharibi kujitosa katika kilimo ili kujipatia riziki za kila siku badala ya kutegemea kuajiriwa katika kazi za afisini ambazo zimekuwa […]
-
Kaunti ya Pokot Magharibi yapokea dawa za kima cha shilingi milioni 70 kutoka KEMSA
Na Benson Aswani,Huduma za matibabu katika kaunti ya Pokot magharibi zinatarajiwa kuimarika baada ya kaunti hiyo kupokea dawa na vifaa vya matibabu vya kima cha shilingi milioni 70 kutoka kwa […]
-
Wadau walalamikia kutelekezwa shule za mashinani katika utekelezwaji mtaala wa CBE
Na Benson Aswani,Wito umetolewa kwa serikali kuwekeza zaidi katika elimu ya watoto hasa maeneo ya mashinani ambako wanakabiliwa na changamoto za kupata huduma ya viwango vinavyostahili vya elimu ya CBE. […]
-
Viongozi Pokot magharibi na Turkana watakiwa kuimarisha mazingira ya kutekelezwa miradi ya maendeleo
Na Benson Aswani,Waziri wa maswala ya afrika mashariki, maendeleo ya kikanda na maeneo kame Beatrice Askul amewataka viongozi wa kaunti za Pokot magharibi na Turkana kushirikiana kuhakikisha kwamba hali ya […]
-
Wanafunzi 74 wanufaika na ufadhili wa elimu kupitia mpango wa Elimu Scholarship Pokot Magharibi
Na Benson Aswani,Wanafunzi 74 wamenufaika na ufadhili wa serikali ya kaunti ya Pokot magharibi kupitia mpango wa ufadhili wa elimu scholarship, karo yao ya shule ikilipwa pamoja na mahitaji mengine […]
-
Makamanda wa kaunti tano za bonde la ufa wakutana kuweka mikakati ya kukabiliana na mihadarati
Na Emmanuel Oyasi,Kamanda wa polisi kanda ya bonde la ufa Samwel Ndanyi Jumatano, Januari 14, 2026 aliongoza kikao cha usalama kinachohusisha makamanda wa polisi kaunti tano za bonde la ufa […]
Top News










