News
-
Shirika la msalaba mwekundu lazindua kituo cha maswala ya dharura EOC Pokot magharibi
Na Emmanuel Oyasi,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin amepongeza ushirikiano wa shirika la msalaba mwekundi na serikali yake katika kushughulikia hali tofauti ambazo zimekuwa zikitokea kaunti hiyo kufuatia […]
-
Hatutakubali kufadhaishwa na serikali ya Kenya kwanza; Kachapin
Na Emmanuel Oyasi,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ameisuta vikali serikali kuu chini ya uongozi wa rais William Ruto kwa kile amedai inaendeleza juhudi za kuangamiza ugatuzi. Akizungumza […]
-
Vyombo vya habari vyatakiwa kuwa msitari wa mbele katika vita dhidi ya ukeketaji
Na Benson Aswani,Vyombo vya habari vimetakiwa kuchangia katika vita dhidi ya ya tamaduni ya ukeketaji vinavyoendelezwa na serikali kwa ushirikiano na mashirika mbali mbali ya kijamii, kwa kuhakikisha kwamba vinatoa […]
-
Wakazi Kacheliba wanufaika na huduma za matibabu kutoka wakfu wa Safaricom
Na Joseph Lochele,Wakazi eneo bunge la Kacheliba katika kaunti ya Pokot magharibi wamenufaika na matibabu ya bure katika kambi ya matibabu ambayo iliandaliwa jumapili kwenye shule ya upili ya wasichana […]
-
Wakulima watakiwa kukumbatia mbinu za asili za kilimo
Na Emmanuel Oyasi,Wakulima katika kaunti ya Pokot magharibi wameshauriwa kukumbatia mbinu za kiasili katika kuendeleza shughuli zao za kilimo kama njia moja ya kuimarisha mazao na kuhifadhi mazingira. Wito huu […]
-
Mhudumu wa afya amlawiti mgonjwa Murpus
Na Benson Aswani,Mhudumu mmoja wa afya mwenye umri wa miaka 55 eneo la Murpus kaunti ya Pokot magharibi anazuiliwa na maafisa wa polisi kwa madai ya kumlawiti kijana mmoja, mwanafunzi […]
-
Vita dhidi ya ujangili vyashika kasi Pokot Magharibi
Na Benson Aswani,Kamishina wa kaunti ya Pokot magharibi Khalif Abdulahi ameendeleza wito kwa wakazi wanaomiliki silaha kinyume cha sheria kuzirejesha kabla ya kukamilika makataa ya mwezi mmoja yaliyotolewa na waziri […]
-
KEMSA yaipokeza kaunti ya Pokot magharibi dawa za kima cha shilingi milioni 60
Na Benson Aswani,Huduma za matibabu zinatarajiwa kuimarika katika hospitali mbali mbali katika kaunti ya Pokot magharibi baada kupokezwa dawa ya kima cha shilingi milioni 60 kutoka kwa shirika la kusambaza […]
-
Ng’eno atimiza ahadi ya kugharamia elimu ya wasanii wawili Pokot Magharibi
Na Benson Aswani,Hatimaye mbunge wa Emurwa Dikir Johana Ng’eno ametimiza ahadi yake kugharamia elimu ya vijana wawili wasanii katika kaunti ya Pokot magharibi, ambayo alitoa katika hafla ya mwanamuziki mmoja […]
-
Wamiliki wa silaha kinyume cha sheria Pokot na Turkana wapewa makataa ya siku 7 kuzisalimisha
Na Benson Aswani,Kamishina wa kaunti ya Pokot magharibi Khalif Abdulahi amewataka wakazi ambao wanamiliki silaha kinyume cha sheria kuzisalimisha katika kipindi cha siku saba zijazo. Akizungumza baada ya kikao cha […]
Top News