News
-
Athari za ajali ya ndege Kaben zadhihirika mwaka mmoja baadaye
Aliyekuwa mkuu wa majeshi nchini jenerali Francis Ogolla, Picha/Maktaba Na Benson AswaniMwaka mmoja tangu kuanguka ndege iliyomuua aliyekuwa mkuu wa majeshi nchini jenerali Francis Ogolla, wakazi wa kijiji cha Kaben […]
-
Huenda ODM ikajiondoa Azimio kuelekea uchaguzi wa 2027; Poghisio
Samwel Moroto aliyekuwa seneta wa kaunti ya pokot Magharibi ,Picha/Maktaba Na Emmanuel Oyasi,Kuna uwezekano mkubwa wa chama cha ODM kuunda muungano mmoja na serikali ya Kenya kwanza kuelekea uchaguzi mkuu […]
-
Ajali ya ndege iliyomwangamiza Ogolla ilipangwa; Kalonzo
Kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka akiwahutubia wanahabari, Picha/Maktaba Na Emmanuel Oyasi,Viongozi wa mrengo wa upinzani wameendelea kutilia shaka ripoti ya uchunguzi wa kiini cha ajali ya ndege iliyomwangamiza mkuu wa […]
-
Mabadiliko ya tabia nchi yapelekea vipindi visivyotabirika vya mvua
Wilson Lonyang’ole Mkurugenzi wa idara ya utabiri wa hali ya anga kaunti ya pokot magharibi, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Maeneo mengi ya kaunti ya Pokot magharibi hasa nyanda za chini […]
-
Vikao vya kuwahamasisha wakazi dhidi ya ndoa za mapema vyaendelezwa Pokot magharibi
Masika Mwinyi afisa wa miradi katika shirika Youth for a Sustainable World YSW, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Shirika la Youth for a Sustainable World YSW linaendeleza uhamasisho maeneo mbali mbali […]
-
4 wajeruhiwa na Chui Riwo, wakazi wakiishi kwa hofu
Mmoja wa waathiriwa wa uvamizi wa chui, Picha/Maktaba Na Benson Aswani,Wakazi wa kijiji cha Kalapochoni kata ndogo ya Poole wadi ya Riwo kaunti ya Pokot magharibi wanaishi kwa hofu kufuatia […]
-
Haitakuwa njia rahisi kwa Ruto kurejea ikulu; Poghisio
Rais Wiliam Ruto katika moja ya ziara zake za maendeleo, Picha/Maktaba Na Emmanuel Oyasi,Rais William Ruto atalazimika kukabiliwa na wakati mgumu katika safari yake ya kuwania awamu ya pili ya […]
-
Serikali ipo mbioni kudhibiti hasara inayosababishwa na radi
David Chepelion afisa mkuu katika idara ya majanga kaunti ya Pokot magharibi, Picha/Benson Aswan Na Benson Aswani,Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi chini ya gavana Simon Kachapin inaendeleza mikakati ya […]
-
Serikali yangu ni safi kama pamba; Kachapin
Simon Kachapin Gavana wa kaunti ya Pokot Magharibi, Picha/Benson Aswani Na Emmanuel Oyasi,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ametetea vikali utendakazi wa serikali yake akisema kwamba imezingatia pakubwa […]
-
Deni la serikali ya kaunti lawanyima wakulima Pokot magharibi mbegu kutoka Kenya seed
Simon Kachapin Gavana wa kaunti ya Pokot Magharibi, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Wakazi wa kaunti ya Pokot magharibi watalazimika kugharamika zaidi msimu huu wa upanzi baada ya serikali ya kaunti […]
Top News