Author: Charles Adika
-
PILKA PILKA
Ungana naye Angela Cherono pamoja na Marango Kizito Macho kwanzia saa nne asubuhi hadi saa nane mchana
-
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WAUNGA MKONO MASHARTI MAPYA YALIYOTANGAZWA NA RAIS KENYATTA
Baadhi ya viongozi katika kaunti hii ya Pokot Magharibi wametetea masharti mapya ambayo yalitangazwa na rais uhuru kenyatta katika kukabili maambukizi zaidi ya virusi vya corona.Mbunge wa Sigor Peter Lochakapong […]
-
MBUNGE WA KACHELIBA MARK LUMNOKOL APIGIA DEBE CHAMA CHA UDA
Mbunge wa Kacheliba kaunti ya Pokot Magharibi Mark Lumnokol ameendelea kupigia debe chama cha UDA ambacho kinahusishwa na naibu rais William Ruto.Lumnokol amekariri kauli ya Ruto kuwa UDA na ODM […]
-
MKUTANO WA AMANI BARINGO WAENDELEA KUIBUA HISIA MIONGONI MWA VIONGOZI
Hisia mbali mbali zimeendelea kuibuliwa na viongozi kanda ya kaskazini mwa bonde la ufa kufuatia orodha iliyotolewa ya wamiliki wa silaha haramu kanda hii katika mkutano wa amani uliofanyika eneo […]
-
WAKAZI WA POKOT MAGHARIBI WAHIMIZWA KUUNGA MKONO MPANGO WA UPATANISHI BBI
Seneta wa kaunti hii ya Pokot Magharibi Samwel Poghisio ameendelea kupigia debe mpango wa upatanishi BBI pamoja na mswada wa marekebisho ya katiba wa mwaka 2020.Akizungumza katika mahojiano na wanahabari, […]
-
-
-
-
IDARA YA MEGEREZA KWENYE KAUNTI BUNGOMA INAKUBWA NA HOFU YA MSAMBAO WA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA CORONA KUFUATIA UHABA WA MAJI
Idara ya magereza kwenye kaunti ya Bungoma ni mojawapo ya idara ambazo zinaendlea kuathirika pakubwa kutokana na ukosefu wa maji waki huu wa janga la corona.Msimamizi wa gereza hilo Hassan […]
Top News







