Author: Charles Adika
-
POLISI BUNGOMA WALAUMIWA KWA UTEPETEVU HUKU UTOVU WA USALAMA UKIZIDI KUSHUHUDIWA
Viongozi katika kaunti ya Bungoma wamekashifu vikali kisa ambapo mwanamme mmoja mlemavu aliuliwa na mkewe ambaye alikuwa mjamzito kubakwa eneo la Teremi katika eneo bunge la Kabuchai.Mbunge wa Kabuchai Majimbo […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YASUTWA KWA KUTELEKEZA HOSPITALI YA KAPENGURIA
.Mwakilishi wadi maalum katika bunge la kaunti hii ya Pokot magharibi Elijah Kasheusheu ameendelea kuibua maswali kuhusu hali ya hospitali ya kapenguria.Kasheusheu sasa amewasilisha ombi kwa kamati ya bunge la […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WATAKA KUONGEZWA MUDA WA MAZUNGUMZO YA AMANI BARINGO
Oparesheni ya kiusalama ikitarajiwa kurejelewa leo katika kaunti ya baringo, seneta wa kaunti hii Samwel Poghisio ameitaka serikali kuwapa muda zaidi viongozi wa kaunti hii ya Pokot magharibi na Baringo […]
-
-
-
-
WAKULIMA WA NYANYA KAUNTI YA TRANS NZOIA WAHIMIZWA KUJIUNGA NA VYAMA VYA USHIRIKA
Wito umetolewa kwa wakulima wa nyanya kaunti ya Trans-nzoia kujiunga katika ushirika ili kuzungumza kwa sauti moja na kupigania bei bora kwa wakulima wanaokuza zazo hilo katika kaunti hiyo. Akihutubu […]
-
MIKUTANO YA AMANI YAENDELEZWA KAUNTI YA BARINGO LICHA YA UGUMU WA KUWAPATA WAKAZI
Viongozi kutoka kanda ya kaskazini mwa bonde la ufa wanaendeleza misururu ya mikutano katika kaunti ya Baringo katika juhudi za kuhakikisha usalama unaimarishwa kwenye kaunti hiyo.Hii ni baada ya serikali […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YASHUTUMIWA KWA KUTELEKEZA HOSPITALI YA KAPENGURIA
Idara za uchunguzi ikiwemo tume ya maadili na kukabili ufisadi EACC na idara ya uchunguzi wa makosa ya jinai DCI zimetakiwa kuingilia katika kuchunguza matumizi ya fedha ambazo zinatengewa idara […]
-
Top News