Author: Charles Adika
-
UTOVU WA USALAMA WAENDELEA KUSHUHUDIWA MARAKWET MAGHARIBI.
Viongozi katika kaunti ya elgeyo marakwet wameshutumu mauaji ya watu wawili yaliyotekelezwa na wezi wa mifugo katika eneo la koitilial, eneo bunge la marakwet magharibi hapo jana.Wakiongozwa na naibu gavana […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUKOMESHA UVAMIZI WA MARA KWA MARA BARINGO KASKAZINI NA KUSINI.
Serikali kuu kupitia asasi zake mbali mbali imetakiwa kufanya uchunguzi wa kina ili kubaini kiini cha mashambulizi ya mara kwa mara kwenye eneo bunge la Baringo kaskazini na kusini katika […]
-
MGOMBEA KITI CHA UBUNGE KAPENGURIA LUCY LOTEE AAGA DUNIA.
Jamii ya aliyekuwa mwakilishi wadi maalum Lucy Lotee inaendelea kuomboleza kifo chake baada yake kuaga dunia hiyo jana katika hospitali ya Kapenguria kaunti hii ya Pokot magharibi.Kulingana na mwanawe Allan […]
-
WASHUKIWA WA UVAMIZI WASHAMBULIA MATATU NA KUWAJERUHI WATU WATATU MJINI LODWAR.
Wasafiri wanaotumia barabara kuu ya kutoka lodwar kuelekea kitale wamejawa hofu na kusitishwa kwa usafiri baada ya matatu moja iliyokuwa ikitoka lodwar kuelekeamjini Kitale kaunti ya Trans nzoia kushambuliwa kwa […]
Top News









