Author: Charles Adika
-
EACC YASHINIKIZWA KUHARAKISHA UCHUNGUZI WA MATUMIZI YA FEDHA POKOT MAGHARIBI.
Aliyekuwa gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi Simon Kachapin ameendelea kuwahimiza wakazi wa kaunti hii kumuunga mkono kuwania tena kiti hicho katika uchaguzi mkuu ujao ili kukamilisha miradi ya […]
-
UTULIVU WAREJEA KOITILIAL, ELGEYO MARAKWET.
Utulivu umeanza kurejea kwenye eneo la koitilial kaunti ya Elgeyo marakwet baada ya watu wawili kuuliwa kwa kupigwa risasi na wavamizi huku wengine 7 wakijeruhiwa vibaya.Kulingana na mshirikishi wa eneo […]
-
‘LONYANGAPUO HANA UMAARUFU TENA POKOT MAGHARIBI’, ASEMA ATUDONYANG.
Gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi John Lonyangapuo alipoteza umaarufu wake wa kisiasa katika kaunti hii baada yake kujiondoa katika chama cha KANU na kubuni chama cha KUP kinachotajwa […]
Top News







