Author: Charles Adika
-
WALIMU WATAKIWA KUTOWATUMA NYUMBANI WANAFUNZI KUFUATIA UKOSEFU WA
Mbunge wa kwanza katika kaunti ya Trans nzoia Ferdinand Wanyonyi ametilia mkazo agizo la waziri wa elimu Prof. George Magoha kwa wakuu wa shule nchini kutowatuma nyumbani wanafunzi kwa ajili […]
-
DORIA ZA PAMOJA ZAENDELEZWA MIPAKANI PA POKOT MAGHARIBI NA TURKANA KUHAKIKISHA USALAMA.
Mikakati inaendelea kuwekwa kuhakikisha kwamba usalama unadumishwa mipakani pa kaunti hii ya Pokot magharibi na kaunti jirani ya Turkana.Kulingana na OCPD wa eneo la Pokot ya kati Bamford Surwa, maafisa […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUKUMBATIA ELIMU YA MTOTO WA KIKE.
Mtoto wa kike katika kaunti hii ya Pokot magharibi ataweza kufanya vyema zaidi katika mitihani ya kitaifa iwapo jamii itawekeza zaidi kwao na kujitenga na ukeketaji pamoja na ndoa za […]
-
RUTO ASUTWA KWA KUINGILIA UBUNGE WA SABOTI TRANS NZOIA.
Mbunge wa Saboti kaunti ya Trans nzoia Caleb Amisi amemsuta naibu Rais William Ruto kwa kile amedai kupanga jinsi atahakikisha anabanduliwa katika kiti hicho kwenye uchaguzi mkuu wa mwezi agosti […]
Top News








