Author: Charles Adika
-
-
KFS YAWAHAMISHA MAAFISA WAKE WOTE BAADA YA MAUAJI YA WATU WAWILI ELGEYO MARAKWET.
Shirika la huduma za misitu KFS limewahamisha maafisa wote katika kituo cha kulinda misitu cha Elgeyo forest katika kaunti ya Elgeyo Marakwet kufuatia mauaji ya watu wawili na wengine watatu […]
-
MALUMBANO BAINA YA RAIS NA NAIBU WAKE YAKASHIFIWA VIKALI.
Wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi wameshutumu majibizano ambayo yanaendelea kushuhudiwa baina ya rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto wakiyataja kuwa hatari hasa wakati huu ambapo taifa […]
-
WAGOMBEA NYADHIFA ZA SIASA POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUDUMISHA HESHIMA.
Wito umetolewa kwa wagombea nyadhifa za uongozi katika kaunti ya Pokot magharibi kuendesha kampeni zao kwa njia ya heshima, na kutowatumia vijana kuvuruga amani kwa maslahi yao ya binafsi. Aliyekuwa […]
-
Top News








