Author: Charles Adika
-
-
KIWANDA CHA NZOIA GRAINS CHAFUNGULIWA UPYA TRANS NZOIA.
Kiwanda cha kusaga mahindi cha Nzoia Grains Kaunti ya Trans Nzoia kimefunguliwa upya kuanza kusaga unga utakao anza kuuzwa kwa maduka hivi karibuni, baada ya mgombea wa kiti cha Ugavana […]
-
MASKWOTA WA CHEPCHOINA WATISHIA KUISHITAKI SERIKALI ICC.
Maskwota waliofurushwa kwenye ardhi yenye utata ya chepchoina mpakani pa kaunti hii ya Pokot Magharibi na kaunti jirani ya Trans nzoia wametishia kuishtaki serikali kwenye mahakama ya jinai mjini the […]
-
MIITO YA AMANI YAENDELEA KUTOLEWA TAIFA LIKIELEKEA KWENYE UCHAGUZI MKUU.
Wito umetolewa kwa wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi kudumisha amani na kutokubali kutumika vibaya na wanasiasa kuvuruga amani kwa manufaa yao ya binafsi hasa wakati huu ambapo taifa […]
Top News








