Author: Charles Adika
-
WAKULIMA WAHADAIWA NCHINI NA SERKALI KUU
Mgombea kiti cha ubunge kwa chama cha UDA Wesley Kipchumba Korir ameisuta serikali kuu kupitia kwa wizara ya Kilimo kwa kuwahadaa wakulima wa mahindi nchini. Akihutubia wenyeji eneo bunge hilo […]
-
ALIYEKUWA SPIKA WA BUNGE LA KAUNTI YA TRANSNZOIA AKOSOLEWA VIKALI
Mgombea kiti cha useneta Kaunti ya Trans Nzoia kwa chama cha ODM Muliro Musoke amekosoa vikali hatua ya aliyekuwa Spika Wa Kaunti ya Trans Nzoia Joshua Werunga kuendelea kukosoa utendakazi […]
-
WENYEJI WA POKOT MAGHARIBI WASHAURIWA KUMCHAGUA KIONGOZI WA AZIMIO LA UMOJA
Mwenyekiti wa chama cha ODM eneo la Kacheliba kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Lorien ameendelea kumpigia debe mombea urais wa chama cha muungano wa azimio la umoja one Kenya […]
-
SERKALI YA GAVANA LONYANGAPUO YASUTWA NA SENETA POGHISIO
Seneta wa kaunti hii ya Pokot Magharibi Samwel Poghisio ameendelea kuisuta serikali ya gavana John Lonyangapuo kuhusu jinsi ambavyo inashughulikia maswala mbali mbali yanayowakumba wakazi wa kaunti hii.Akirejelea visa vya […]
Top News








