Author: Charles Adika
-
GAVANA KACHAPIN AKAGUA KIWANDA CHA KUCHINJA MIFUGO CHA NASUKUTA ENEO LA POKOT KUSINI
Gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi Simon Kachapin amewahakikishia wakazi wa kaunti hii kwamba kiwanda cha nyama cha Nasukuta kitaanza rasmi kuhudumu mapema mwaka ujao.Akizungumza baada kuzuru kiwanda hicho […]
-
MOSES WETANGULA ATEULIWA KUWA SPIKA WA BUNGE LA KITAIFA
Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Bungoma Moses Wetangula sasa ndiye spika wa bunge la kitaifa.Wetangula alitangazwa mshindi baada ya duru ya pili ya uchaguzi kukosa kufanyika kufuatia hatua ya Kenneth […]
-
KINYANG’ANYIRO CHA USPIKA CHASHIKA KASI POKOT MAGHARIBI
Kinyang’anyiro cha kumtafuta spika wa bunge la kaunti hii ya Pokot magharibi kimeshika kasi huku wagombea 8 wakionyesha nia ya kuwania wadhifa huo.Miongoni mwa waliotangaza kuwania kiti hicho ni wakili […]
-
TODOSIA AAPA KUAFIKIA MATAKWA YA WANANCHI PUNDE BAADA YA KUAPISHWA.
Mwakilishi wadi mteule wa mnagei katika kaunti hii ya Pokot magharibi Richard Todosia amewapongeza wakenya kuwa kuendelea kudumisha amani kipindi chote cha uchaguzi hadi pale mahakama ya juu ilipodumisha ushindi […]
Top News








